Natafuta mwanaumme aliye serious kuwa mume baadae

Ina maana kuwa hata barabarani watu hawajakutongoza!!!.May be unatishaaa!!!!! huenda kwa urembo ulionao au ubaya.
 
niambie pachaaaaa! kuna uongo hapo nimeweka?

hivi umeshawahi kusoma post za shonza kule siasani? arekebishe mwandiko wake kwanza.

Shonza mwandiko m'bovu,
Idea mbovu,
Anachokiongea nacho kibovu vilevile.

Kwanza Muandiko wake hua unatokezeaga hadi nje ya karatasi.
Halafu elimu ya nukta, koma, kuacha nafasi, kuanza kwa aya inaelekea imempita kando bibi yule.

Halafu nikuchekeshe?
Eti ye na Muunga-Tela ni Walimu (Wa UPE??)
 

Ngoja nikuPM tulonge mweh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…