Jimmy Kadebedebe
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 468
- 191
Ina maana kuwa hata barabarani watu hawajakutongoza!!!.May be unatishaaa!!!!! huenda kwa urembo ulionao au ubaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niambie pachaaaaa! kuna uongo hapo nimeweka?
hivi umeshawahi kusoma post za shonza kule siasani? arekebishe mwandiko wake kwanza.
Natafuta mwanaume atakayekuwa mume baadae endapo tutaelewana na kupitia hatua zinazohusika. mume anapatikana popote na Mungu akiamua apatikane JF hakuna wa kupinga. hivyo linawezekana pia.
About me; 31 years old, Government Employee and Interprenership, education level First degree, mnene wa wastani na mrefu wa wastani,
Man im looking for
Age -30yrs and above
education -Form four and above
Job - employee or self employed
Awe mrefu wa wastani
anayependa maendeleo na aliye tayari kujishughulisha ili kuwa na maendelea
Aliye tayari PM nitamjibu thanx