Nipe nikae na mgeni hayo makazi mchaga mwenzangu[emoji6]Unaenda kwenye uchaguzi wa TLS? Kama unaenda kwenye uchaguzi, Je utamchagua Lissu? Kama utamchagua Lissu nitakupa makazi uishi bure kabisa.. It's an empty home but full secured, iko Sakina kwa Idd..
hahahhah nakufahamuHuwaga spendi kuacha chembe ya doubt mimi
Kwa mimiAnanifaa kwa nn tena mm kaka
Daby wa husna bila hivyo ningeomba nimchungulie nione kirungu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwite Daby au nipe kazi ukuwadi/ushenga dada
Uko vzuri lakini?Kwa mimi
Cc Diva
Acha ujinga, haya ni mashindano, ashindaye huchukua kombe, pambania nafsi yakoooDaby wa husna bila hivyo ningeomba nimchungulie nione kirungu
Huyu eti ni shemeji yangu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwite Daby au nipe kazi ukuwadi/ushenga dada
Utalia sana na kujuta kwa kuchelewa kunifahamu na kunijua....sifai kwa hiloUko vzuri lakini?
Nataka vitendo zaidi you know ili nijionee ctaki kusimuliwa mieUtalia sana na kujuta kwa kuchelewa kunifahamu na kunijua....sifai kwa hilo
Kazi nimemaliza[emoji115] shunie kazi kwakoHuyu eti ni shemeji yangu.
Ila akikubali mimi sina shida atakuwa shetani katupitia tu
Daby wa husna bila hivyo ningeomba nimchungulie nione kirungu
Husna hana shida au hukumwelewa alivyosema kuleDaby wa husna bila hivyo ningeomba nimchungulie nione kirungu
hahahhh acha nife tuAtakuwa ameyashuhudia arusha.
Sio vizuri lkn.... na utakufa kwa u choyo wewe
anakufaa kakaKwa mimi
Cc Diva
Hivi ni kweli Arusha kuna wapiga roba za aina tofauti tofauti, maana story nilizopewa zinatisha na kuniogopeshaArusha karibia naijua kona zote...
Sizungumzii kiseriani ya Arusha mkuu. Nilikuwa Naongelea Kiserian Kenya. Ukitoka mbakase kabla hajafika Nai kuna mji unaitwa kiseriani au ukiwa unatokea magari kabla ya kufika Nai
mm nilitaka nichungulie tu kirungu acha husna aendelee atalia sana si kwa thread ileHuyu eti ni shemeji yangu.
Ila akikubali mimi sina shida atakuwa shetani katupitia tu
Acha ujinga, haya ni mashindano, ashindaye huchukua kombe, pambania nafsi yakooo
Tena music ule wa taratibu.
bas sitaki tena kuchungulia kirungu nisije nikaachika bure hapaHusna hana shida au hukumwelewa alivyosema kule
[emoji23][emoji23]
Serious.Hivi ni kweli Arusha kuna wapiga roba za aina tofauti tofauti, maana story nilizopewa zinatisha na kuniogopesha