[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wamasai wamejigeuza utalii, siku moja nikiwa na wageni kuelekea serengeti kupitia oldonyo lengai, tulipata pancha pale wanaita serengeti ndogo, wakaja wamasai wanataka wapigwe picha, nikawaambia wageni wawulize kabla hawaja pics picha wakasema haina tatizo acha tuwapige picha. Mara baada ya kupigwa picha wakanyoosha mikono wanadai pesa, wageni wakashangaa kwanini walipie picha. Nikawaambia walipeni niliwapa tahadhari hao no mali asili. Wageni walishangaa sana. Ndg zako wamejigeuza wanyama Daby