Natafuta mwenza anayeishi na VVU

Natafuta mwenza anayeishi na VVU

Kaka sasa tunakua marangapi umri kaainisha tyar apo ntaachaje Kati naitaji kuianza safari ya mahaba vyema ni bless tu😆
Vijana wa hovyo kila siku mnatafuta mapya...
Sasa hivi tuta deals na nyie vzr sana 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
 
Vijana wa hovyo kila siku mnatafuta mapya...
Sasa hivi tuta deals na nyie vzr sana 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Sasa chief mimi apo kosa langu nini anyway Wacha nijitafute wapi ntaenda kuangukia ktk penzi zito maana usingle huu sio mzuri japo unaaamani kosa ni pale unaumwa tu😂
 
Sasa chief mimi apo kosa langu nini anyway Wacha nijitafute wapi ntaenda kuangukia ktk penzi zito maana usingle huu sio mzuri japo unaaamani kosa ni pale unaumwa tu😂
Daaah kijana mnapenda sana mitulinga alaaah...🤓🤓🤓🤓
 
Daah hapana sio kama ww inaelekea ww unaona kama chakula hiko kitu
🙌🤓
Hpn sijageuza kama msosi chief isipokua tu kuna mda mwili unaitaji upime girisi sasa hakuna kipingamizi lazima utafute ili kufanya mwili uwe mwepesi Kisha uwndelee na jambo lingine tn kwa sasa mmbo wameraisisha namna hii tabu tupu
 
Hpn sijageuza kama msosi chief isipokua tu kuna mda mwili unaitaji upime girisi sasa hakuna kipingamizi lazima utafute ili kufanya mwili uwe mwepesi Kisha uwndelee na jambo lingine tn kwa sasa mmbo wameraisisha namna hii tabu tupu
Kijana unavokomalia vitu vya ajabu sasa na unatoa point mwenyewe dah 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓....
Utatulia wewe kweli
 
Back
Top Bottom