Ndiko tayariUpweke ndio chanzo kikubwa cha vifo hasa kwa watu kama Sisi wenye vvu..jaman nataka mpka kukata tamaa ni wapi nitampata a mature and normal man mwenye hali kama yangu..tulisukume gurudumu la maisha pamoja??
[emoji15][emoji15][emoji15] Hemu tupe historia ya maisha yako , ilikuwaje mpaka ukaupata.Mwenye + nitakuwa nae free zaidi coz atanielewa zaidi na nitampenda zaidi..asante
Natafuta mwanaume mwenye hiv +,mwenye uelewa na afya yake na Anatumia ARV.aliye serious tafadhali mengine tutajuana PM
Wee utanifaa njoo tuyajenge mammyNatafuta mwanaume mwenye hiv +,mwenye uelewa na afya yake na Anatumia ARV.aliye serious tafadhali mengine tutajuana PM
njoo tuongeeNatafuta mwanaume mwenye hiv +,mwenye uelewa na afya yake na Anatumia ARV.aliye serious tafadhali mengine tutajuana PM
Mkuu kwani wewe teyari?Wee utanifaa njoo tuyajenge mammy
Ndio mkuu teyariMkuu kwani wewe teyari?
Pole sana mkuu.Ndio mkuu teyari
Asante.Pole sana mkuu.
Usikate tamaaa endelea kumuomba Mungu utapata mwenza wako ingia instagram mwone dada lucymyava akuunge na mwanaumeUpweke ndio chanzo kikubwa cha vifo hasa kwa watu kama Sisi wenye vvu..jaman nataka mpka kukata tamaa ni wapi nitampata a mature and normal man mwenye hali kama yangu..tulisukume gurudumu la maisha pamoja??
Usikate tamaaa endelea kumuomba Mungu utapata mwenza wako ingia instagram mwone dada lucymyava akuunge na mwanaume
bro jichanganyeHivi humu si kuna watu wanasema huu ugonjwa haupo ni udanganyifu tu wa wazungu?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app