Natafuta mwenza HIV+
Natafuta mwanaume mwenye hiv +,mwenye uelewa na afya yake na Anatumia ARV.aliye serious tafadhali mengine tutajuana PM

Nataman kujua ilikuaje ukaupata na ni mwaka gan japo kwa ufupi tu ili nasisi tujifunze!
Siyo kwa ubaya!
 
Hivi HIV bado ipo!!? Madam usikute huna hata hiyo HIV kapime tena
 
Upweke ndio chanzo kikubwa cha vifo hasa kwa watu kama Sisi wenye vvu..jaman nataka mpka kukata tamaa ni wapi nitampata a mature and normal man mwenye hali kama yangu..tulisukume gurudumu la maisha pamoja??
Usikate tamaaa endelea kumuomba Mungu utapata mwenza wako ingia instagram mwone dada lucymyava akuunge na mwanaume
 
hivi wakuu kule vituoni kwa kuchukua dawa haiwezekani mtu akapata mwenza?

nilizani uko ndo rahisi na mtu mwenyewe unamuona kabisa kuliko umu mitandaoni
Usikate tamaaa endelea kumuomba Mungu utapata mwenza wako ingia instagram mwone dada lucymyava akuunge na mwanaume
 
Back
Top Bottom