Natafuta mwenza(mke)

Natafuta mwenza(mke)

Kayumba Barakah

New Member
Joined
Mar 10, 2024
Posts
4
Reaction score
14
Mimi ni kijana wa miaka 32, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Karibu PM

Sifa za mwenza ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 28 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi.
3. Awe anajishuhulisha
4. Awe mwenye utu na ajue thamani ya upendo na awe tayari kuingia kwenye mahusiano.
5. Nitapendelea zaidi akiwa na mwili wa kawaida na kimo Cha kawaida.
 
Kila lakheri kaka. Utampata wapo wengi sana wenye sifa izo.
 
All the best kayumba.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Hutaki mwenye bikra?
Hutaki mwenye mtoto/watoto?
Hutaki aliyekeketwa?
 
Mimi ni kijana wa miaka 32, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Karibu PM

Sifa za mwenza ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 28 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi.
3. Awe anajishuhulisha
4. Awe mwenye utu na ajue thamani ya upendo na awe tayari kuingia kwenye mahusiano.
5. Nitapendelea zaidi akiwa na mwili wa kawaida na kimo Cha kawaida.
Iwapo watakuja wa kuzidi nipunguzie baadhi 😀
 
Back
Top Bottom