Hahahahahahahah jiandae kulipa deni ...na hapo ukute kitu kimepiga science alipata 100%
Mengine unakutana nayo mbele ya safariUmeona! ndo maana nataka majibu kamili ili nijitose nikiwa na taarifa kamili
Mengine unakutana nayo mbele ya safari
Hahahahahahahahah bumu si ndo limemtunza mpaka mnakutanaYes lakini hili nataka nijuwe kabla sijamjua yeye! Unakuta mtu kachukuwa 100%, bum liliishia kununua vizawadi vya basidei na mitoko na mabebi wake mie sikuambulia hata senti.... leo kwenye malipo naonekana ni mtuhumiwa namba moja..... khaaaa yataka moyo
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nimekubambaaa
π€£π€£..alafu Sina masharti mengi awe tu anajielewa ..mtafutaji ..pumzi muhimu.πWeka tu bandiko kila mtu na Bahati yake
Njoo kwangu[emoji1787][emoji1787]..alafu Sina masharti mengi awe tu anajielewa ..mtafutaji ..pumzi muhimu.[emoji41]
ππππ Vigezo unavyo?Njoo kwangu
Upo serious???Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
[emoji848] Niwekee tafadhali nivione[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vigezo unavyo?
Mshughurikaji[emoji848] Niwekee tafadhali nivione
Toa shaka kabisa hivyo vyote ninavyo nipe maelekezo mengineMshughurikaji
Mstaarabu
Awe ana pumua
Au kuna vingine?Mshughurikaji
Mstaarabu
Awe ana pumua
ππ HakunaAu kuna vingine?
Usiogope mimi sio The wantedFuta namba eti..alafu sipo serious bana
Miaka 32 its too late already....tafuta yeyote anayepumua tu......soon utaingia 35 - 40 ambayo ni danger zoneNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
inategemea una umri gani ....kama ni above 30 ..na unajiweza tafuta anayepumua tuπ€£π€£..alafu Sina masharti mengi awe tu anajielewa ..mtafutaji ..pumzi muhimu.π