Natafuta mwenza (mume)

Natafuta mwenza (mume)

Status
Not open for further replies.
Utakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.

Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.

Kua na huruma mkuu[emoji846]
 
Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)

Sifa zangu;

Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector

Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.

Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)

Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.

Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com

Cheers!
Sawa. Mungu akusaidie upate hitaji la moyo wako, siko kwenye ndoa ila nimekosa baadhi ya sifa.

Sina elimu ya chuo kikuu na sijaajiriwa!
 
Baby-Care-200g.jpg
 
Utakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.

Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.
🤣🤣🤣🤣 Mwanamke tako bwana
 
Kwa jinsi jamaa alivyowakilisha Ile story sidhani kama alifanya kile kitendo. Yaani ule Uzi utafanya watu wawaogope ma single m
Ndiyo maana kuna Mahakama, pande mbili zinasikilizwa.
Sijamuelewa kabisa, kama hajafanya kitu. Alitakiwa aombe kuonana hata na Waziri wa Jinsia, angemsaidia sana.

Ni jambo zito, angelipeleka hata kwenye vyombo vya habari, likapaziwa sauti. Mtoto akawa chini ya uangalizi, wasije fanya ujinga. Maana ni wauaji Mama mtu na askari.
Haki huwa inachelewa, ila inapatikana.
 
Ndiyo maana kuna Mahakama, pande mbili zinasikilizwa.
Sijamuelewa kabisa, kama hajafanya kitu. Alitakiwa aombe kuonana hata na Waziri wa Jinsia, angemsaidia sana.

Ni jambo zito, angelipeleka hata kwenye vyombo vya habari, likapaziwa sauti. Mtoto akawa chini ya uangalizi, wasije fanya ujinga. Maana ni wauaji Mama mtu na askari.
Haki huwa inachelewa, ila inapatikana.
Mpaka nilihisi labda aliekuwa anamchapia jamaa ni askari
 
Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)

Sifa zangu;

Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector

Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.

Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)

Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.

Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com

Cheers!
Hatuna haja na kazi yako sijui elimu wala umeajiliwa wapi,,, kikubwa tu trako unalo? Hilo tu,,, ukiwa na trako njoo unishtue tuyajenge nipo nimekaa palee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom