Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
" Awe muelew a na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa." Inaelekea unatabia ya kujidai kichwa Cha familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini rafiki?Inamaaana hamuoni kabisa dronedrake Glenn Extrovert Mzee wa kupambania MLEVi Mmoja Carlos The Jackal Equation x Liverpool VPN
Kwamba hamuoni au😆
Haha wewe unamtafutia mwenzio...wewe je?Inamaaana hamuoni kabisa dronedrake Glenn Extrovert Mzee wa kupambania MLEVi Mmoja Carlos The Jackal Equation x Liverpool VPN
Kwamba hamuoni au😆
😃😃😃😃😃😃😃badoHaha wewe unamtafutia mwenzio...wewe je?
Ujumbe umefika mama😃😃😃😃😃😃😃bado
🚶Inawezekana tu mbona
Ila hii kitu hiiiAkitaka friends with benefits nipo hapa 😀
Lakini umenikosea kiasi kuniweka kati na Mzee wa kupambania na MLEVi Mmoja 😂😂😂😂Inamaaana hamuoni kabisa dronedrake Glenn Extrovert Mzee wa kupambania MLEVi Mmoja Carlos The Jackal Equation x Liverpool VPN
Kwamba hamuoni au😆
Sifa hizo anazo dronedrakeHello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)
Sifa zangu;
Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector
Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
😆😆😆😆😆😆Utani huo bwana....hapa lazima akubali mechi anagalau ianze moja moja
Oeni😅😅😅Lakini umenikosea kiasi kuniweka kati na Mzee wa kupambania na MLEVi Mmoja 😂😂😂😂
Extrovert kunakosea wapi kaka hadi
Amehlo atutafutie mke?
Hahaha umejuaje hatuna?Oeni😅😅😅
😀😀😀😀thubutuHahaha umejuaje hatuna?