Natafuta mwenza (mume)

Status
Not open for further replies.

Kua na huruma mkuu[emoji846]
 
Sawa. Mungu akusaidie upate hitaji la moyo wako, siko kwenye ndoa ila nimekosa baadhi ya sifa.

Sina elimu ya chuo kikuu na sijaajiriwa!
 
🤣🤣🤣🤣 Mwanamke tako bwana
 
Kwa jinsi jamaa alivyowakilisha Ile story sidhani kama alifanya kile kitendo. Yaani ule Uzi utafanya watu wawaogope ma single m
Ndiyo maana kuna Mahakama, pande mbili zinasikilizwa.
Sijamuelewa kabisa, kama hajafanya kitu. Alitakiwa aombe kuonana hata na Waziri wa Jinsia, angemsaidia sana.

Ni jambo zito, angelipeleka hata kwenye vyombo vya habari, likapaziwa sauti. Mtoto akawa chini ya uangalizi, wasije fanya ujinga. Maana ni wauaji Mama mtu na askari.
Haki huwa inachelewa, ila inapatikana.
 
Mpaka nilihisi labda aliekuwa anamchapia jamaa ni askari
 
Hatuna haja na kazi yako sijui elimu wala umeajiliwa wapi,,, kikubwa tu trako unalo? Hilo tu,,, ukiwa na trako njoo unishtue tuyajenge nipo nimekaa palee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…