Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Nahisi nimelewa ntakuja asubuhi kujibu😅😅Nipo bize mazee usilamu naishi namna hii, naenda resi na mihangaiko ya dunia hii, nafanya kazi inayonisitiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi nimelewa ntakuja asubuhi kujibu😅😅Nipo bize mazee usilamu naishi namna hii, naenda resi na mihangaiko ya dunia hii, nafanya kazi inayonisitiri.
Asanteni kwa kuja thanks for coming... Coming... Coming!!! 😀 X3Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)
Sifa zangu;
Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector
Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
Nataka majibu ya kilevi, lets slide kwa DMsNahisi nimelewa ntakuja asubuhi kujibu😅😅
Kaka kwema huko ?Mie namtakia kila lakheri na afanikishee
hahahahahaPicha linaanza refa anapuliza kipenga kuashiria kuanza kwa match halafu ubao unasoma 1-0
Utamuoa huyo binti?Nataka majibu ya kilevi, lets slide kwa DMs
Noh mi ntakuoa wewe if you wont mind.Utamuoa huyo binti?
Wakiwa paredi utaskia.Mwehu sana yule mpemba mdebwedo 😅
😀😀😀mimiNoh mi ntakuoa wewe if you wont mind.
Kuliko kukataa ndoa bora niwe na wewe maana afande Kibogalaization sio poa. 🤣😀😀😀mimi
Bora ukatae ndoa
Afante anaikatikia kuliko mimi loooh 😀😀Kuliko kukataa ndoa bora niwe na wewe maana afande Kibogalaization sio poa. 🤣
Kwema Binti hujamboo njoo nikufireeKaka kwema huko ?
Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)
Sifa zangu;
Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector
Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
Hold on..watu mmechafukwa hiviKwema Binti hujamboo njoo nikufiree
Eh unataka three some karibu tumshee au wewe nawe ni mchele mcheleHold on..watu mmechafukwa hivi
Njemba kuigiza KE ni utaahira.Kwema Binti hujamboo njoo nikufiree