proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
[emoji3063][emoji3063][emoji3063][emoji3063] nin hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3063][emoji3063][emoji3063][emoji3063] nin hii
poison yangu hiyo, tulizo la mkunyege[emoji3063][emoji3063][emoji3063][emoji3063] nin hii
Hio ni order kutoka kwa mkuu wa majeshi sasa endelea kuacha uone kitachotokea...anitoe kwenye hiyo list hapo mara moja
mzee centrifugal pump, upoHio ni order kutoka kwa mkuu wa majeshi sasa endelea kuacha uone kitachotokea...
nipo mkuu wa majeshi ndio nataka ni upload uzi sasa hivi kuwa onlinemzee centrifugal pump, upo
Kazi mnayo... Unakua kama unatangaza kazi na bado utakuja kumtegemea huyo mwanaume!!! Hadi elimu na umri[emoji1787]Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)
Sifa zangu;
Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector
Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
[emoji23][emoji23][emoji23] daahUtakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.
Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.
Punguza KUTUSEMA.Kila la kheri, Mwenyezi Mungu akupe haja ya moyo wako.
Japo tuna vijana wa hovyo humu, wana kampeni yao ya KATAA NDOA...
Namna hii kazi unayo. Yaani jioni hii bado unaweka mashauzi! Heri ungemwendea aliyekumimba na kukuzalisha akuhifadhi. Wewe kibusara unatafuta hifadhi kama wanawake wa kichaga na kipare wafanyavyo wanapozeeka na kuwatumia hawara zao (kaka zao) kuiwaingiza mkenge chasaka.Hello JF users, niko jukwaani kutafuta mwenza (mume)
Sifa zangu;
Jinsia - Mwanamke.
Dini - Mkristo.
Umri - 30+ yrs.
Elimu - Degree moja.
Mtoto - Mmoja 10 yrs.
Ajira - Niko private sector.
Ninayemuhitaji awe;
Mkristo.
32-40yrs.
Awe na kazi halali.
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa.
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
NB: Siko Dar es Salam, niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nailed itUtakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.
Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.