Natafuta mwenza (mume)

Natafuta mwenza (mume)

Status
Not open for further replies.
Wanawake wao kwa wao kuoneana wivu si stori, tatizo ni kwa kijana wa kiume kumwonea wivu mwanamke anayetafuta mwenza / mume. Vijana wa kiume wanaongoza kuharibu nyuzi za wanawake wanaotafuta mahusiano JF.
 
Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)

Sifa zangu;

Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector

Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.

Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)

Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.

Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com

Cheers!
Kazi mnayo... Unakua kama unatangaza kazi na bado utakuja kumtegemea huyo mwanaume!!! Hadi elimu na umri[emoji1787]
 
Utakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.

Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] daah
 
Hello JF users, niko jukwaani kutafuta mwenza (mume)

Sifa zangu;

Jinsia - Mwanamke.
Dini - Mkristo.
Umri - 30+ yrs.
Elimu - Degree moja.
Mtoto - Mmoja 10 yrs.
Ajira - Niko private sector.

Ninayemuhitaji awe;
Mkristo.
32-40yrs.
Awe na kazi halali.
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa.
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)

NB: Siko Dar es Salam, niko mkoani.

Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com

Cheers!
Namna hii kazi unayo. Yaani jioni hii bado unaweka mashauzi! Heri ungemwendea aliyekumimba na kukuzalisha akuhifadhi. Wewe kibusara unatafuta hifadhi kama wanawake wa kichaga na kipare wafanyavyo wanapozeeka na kuwatumia hawara zao (kaka zao) kuiwaingiza mkenge chasaka.
 
Utakuwa una gundu hasa. Ni nadra sana kwa tangazo la mwanamke kutafuta mwenza likachukua masaa bila wachangiaji. Toka saa tano asubuhi watu wamelilia bati.

Anyways umeruka kipengele cha muhimu sana katika maelezo yako, hujasema kama una chura. Maana kama ni flat screen basi wewe ni 'mkuu' tu kama sisi.
Bila ya chura tubishane kuhusu mpira na kubet tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nailed it
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom