dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
NAKAZIAKataa ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAKataa ndoa
Sio sawa kuweka number yako public kiasi hikiWanawake wa jf hawatumiagi PM, we wawekee hapa namba yako ya simu, watakupigia na utachagua umtakaye
kwann mkuu?Una utovu wa nidhamu!!!
naomba nisaidi na wewe kupata hata asiyekuwa humuUnatafutia humu?
Kwa hiyo utawasubiri waliofunga PM zao wakutext huko PM?sio sawa kuweka numbwe yako public kiasi hiki
kama kuna mwenye nia kweli atafungua PM yakeKwa hiyo utawasubiri waliofunga PM zao wakutext huko PM?
Utasubiri sana bro
kwani ina nini Madam?Kwa hio avatar subiri wanakuja 😃
Amina, mimi pia na imani iyo kuwa nitapata tu!!Kama ndio ww kwenye avatar,mbona handsome jaman unakosaje bebe??.Ila Mungu atakusaidia utapata usichoke.
Hawa mama ntilie hapa mwenge na wale wasusi wengi hawana waume.naomba nisaidi na wewe kupata hata asiyekuwa humu
I think we ni mgeni hapa jf 😂😂kama kuna mwenye nia kweli atafungua PM yake
kazi na biashara sio issue kwangu, muhimu ni mapenzi nimwelewe na anielewe, tupendane tu inatosha, kwaiyo sijali kuwa ni msusi au anafanya nini.Hawa mama ntilie hapa mwenge na wale wasusi wengi hawana waume.
siwezi weka number yangu ya simu hapa brother!!I think we ni mgeni hapa jf 😂😂
Watafungua PM zao kwa ajili yako 😂
🤣🤣Kwa hio avatar subiri wanakuja 😃
haha, mimi ni mkristo, ndoa yangu itakuwa ya kanisani kwaiyo yoyote aliye tayari kwa ndoa ya kanisani ni sawa.Handsome la Kijiji cha JF kipengele cha Dini hujaweka au kwako sio tatizo🤣
Ana vihela vinamuwasha! [emoji16][emoji16][emoji16]Kaka kaka Kaka nakuita mara Tatu wanasema kataa NDOA ni utumwa