Natafuta mwenza mwanamume

Wee kama huna mpango wa kuongeza watoto utanifaa sana. Sie itakuwa kutalii tuu leo dubai kesho durban na kugegedana tuu.
I am interested naja pm tuyajenge
 
Enhe account inabalance shingap mshangazi Ebu tuanzie hapo.
 
Useme Mume wako alizikwa wapi , ulete na cheti cha kifo ili mtu akiamua akustiri Tu miaka 35 k inakua hata Ute umeshaisha na ladha inakua kama ya tango anayekustiri inabidi ajitoe kwelikweli
Kashfa kwa wanawake haikubaliki, je mzazi wako wa kike naye ana hali hii uliyo define kwa mtoa mada ?
 
Useme Mume wako alizikwa wapi , ulete na cheti cha kifo ili mtu akiamua akustiri Tu miaka 35 k inakua hata Ute umeshaisha na ladha inakua kama ya tango anayekustiri inabidi ajitoe kwelikweli
Kashfa kwa wanawake haikubaliki, je mzazi wako wa kike naye ana hali hii uliyo define kwa mtoa mada ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…