permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kuwa na staha japo kidogo.Useme Mume wako alizikwa wapi , ulete na cheti cha kifo ili mtu akiamua akustiri Tu miaka 35 k inakua hata Ute umeshaisha na ladha inakua kama ya tango anayekustiri inabidi ajitoe kwelikweli
Wewe ukiwa na staha inatosha ,Kuwa na staha japo kidogo.
Lunacy at its best.Wewe ukiwa na staha inatosha ,
Lunacy at its best.Wewe ukiwa na staha inatosha ,
Hata wewe Mockers unastahili staha, heshima na lugha ya kistarabu. Vinginevyo hukumaanisha kukososoaWewe ukiwa na staha inatosha ,
Watoto ni wa baba mmoja, sababu ya kushindwana ktk ndoa huwa sio moja na wala sio ya siku moja ndugu kama hujawahi ingia kwenye ndoa you better keep quiet"nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana."
1)NINI CHANZO CHA KUSHINDWANA ,ULIACHWA AU WEWE ULIACHA KWA SABABU ZIPI?
2)DINI YAKO Ni ipi na KABILA LAKO NI LIPI??
3)WATOTO WAWILI NI WA BABA MMOJA AU KILA MMOJA NA BABA YAKE?
Vijana ambao hamjaoa, Shangai hilo ila muwe serious.Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.
Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.
Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.
Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro mkurya, mjita!
Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).
Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.
Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Nimekosa kigezo kimoja tu, nina mke.Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.
Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.
Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.
Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro mkurya, mjita!
Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).
Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.
Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.