Natafuta mwenza mwanamume

Natafuta mwenza mwanamume

duh kweli binadamu tumetofautiana yani
upo 35, mwanaume keshakuachia watoto 2 bado unataka mwanaume tena😲like siriazly🤔?[kwa sauti ya babra yule wa claudzfm]

mm ningekushauri ubaki mwenyewe na wanao uko unakotaka kwenda ni kutafuta stress ingine ĺabda km unatafuta ela ya kusomeshea hao watoto

hlf ndoa sio ya kila mtu.. kuna dem namfaham yy ameshajijua kwa jins alivyo hawez kuishi na mwanaume kwaiyo amejikubali anaishi fresh tu mwenyewe na watoto wake na humuoni akiyumba kimaisha

sore huu ni ushauri tu
duh kweli binadamu tumetofautiana yani
upo 35, mwanaume keshakuachia watoto 2 bado unataka mwanaume tena😲like siriazly🤔?[kwa sauti ya babra yule wa claudzfm]

mm ningekushauri ubaki mwenyewe na wanao uko unakotaka kwenda ni kutafuta stress ingine ĺabda km unatafuta ela ya kusomeshea hao watoto

hlf ndoa sio ya kila mtu.. kuna dem namfaham yy ameshajijua kwa jins alivyo hawez kuishi na mwanaume kwaiyo amejikubali anaishi fresh tu mwenyewe na watoto wake na humuoni akiyumba kimaisha

sore huu ni ushauri tu
Achukue huu ushauri
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Ninasifa za kuwa mmeo. Nipo Kahama Shinyanga
 
Wakurya na wajita sijui wanamabalaa gani mana katika kila post za kuyakataa makabila wao ni vinara tena kwa wanaume na wanawake
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
uko wapi kama mbeya 0764125128
 
Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).
Daaah!naishiwa na Nguvu Mwana was mke MWENZAKO😍
 
Piga picha ukiwa umegeukia nyuma na sisi watu wa mikoani tukujue
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Kama utaona inafaa tufanye kama babu zetu wa zamani,,,,ikiwa na maana walikuwa na mke zaidi ya mmoja.
KARIBU ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Naahidi kukusaidia upate mwanaume,nimesoma maelezo yako nimekuonea huruma,je una masharti kuhusu wanaume ambao ni machotara,au waarabu,wahindi,wazungu?
 
Natamani umpate anayefaa ilmradi nawe uwe unafaa. Kwanini hutaki kuolewa na mkurya au mjita?
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Mungu akufanikishie
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Hii ni December 2024 Kama hujampata nitafute umri wangu ni 54
 
Back
Top Bottom