Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Jua linaelekea kuzamaYaani huyu bado ana miaka 10 tu ya kuchakatana. Maana akifikisha 45 ni menopause ambayo huwa inasitisha hamu na uwezo wa k kuchakatana.
wapo wengi sana,,, yaaani sana tuu..........unapoona mabinti zetu wanazalia nyumbani....jua kuna libazziii lishayavuruga maji...chovya unase...Me 34-37 ambaye hajaoa? Labda padri.
Naitwa secy nahitaji mwenza sifa zangu
Umri: 34
Dini: Christian
Kazi : mwajiriwa ( Government)
Elimu😀egree
Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa
Naihitaji mwenza mwenye sifa zifuatazo:
Umri: 34-47
Dini: Mkristo
Kazi: awe amejiajiri au kuajiriwa
Kama unajijua mume wa mtu usinitumie sms asante.
Unaonekana mtu jeuri/mkali sana kiasi kwamba hata atayekuoa kazi kwake.