Natafuta Mwenza (Mwanaume)

Dini na umri vimenikosesha mke dah!
Muislam halafu nna 33 yrs
 
Me 34-37 ambaye hajaoa? Labda padri.
wapo wengi sana,,, yaaani sana tuu..........unapoona mabinti zetu wanazalia nyumbani....jua kuna libazziii lishayavuruga maji...chovya unase...
 
Jokajeusi amekataza kuoa mwanamke ambae sio bikra
Na amesistiza mkaolewe na aliowatoa bikra
 

Kwa age hiyo dada, we kubali tuu show upate mtoto kwanza, then uangalie mengine km ni mume wa mtu au la. Kazi si unayo?? Kutunza unaweza, we tafuta mtoto kwanza
 
Dah...yaani hapo Nina sifa moja tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…