Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

Mr Ballo

Member
Joined
Apr 21, 2024
Posts
43
Reaction score
83
Habari zenu wanajamii,

Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye maono ya kujenga uhusiano wa imara, wa heshima, na unaoelekea kwenye ndoa.

Itapendeza zaidi kama anaishi hapa Dar es Salaam, lakini kama yupo mkoa mwingine, ningefurahia kama anaweza kuwa na utaratibu wa kufika Dar mara kwa mara au awe tayari kuhamia hapa ili tuwe karibu zaidi.

Sina ubaguzi wa kabila, ila nikimpata mwenye asili ya Kichaga itanipendeza zaidi.
Muhimu zaidi ni mtu mwelewa, mkweli, mwenye heshima, na anayetafuta mapenzi ya dhati na maisha ya ushirikiano wa milele.

Napenda kusisitiza jambo moja muhimu sana:
Katika tangazo langu la awali, walijitokeza wanawake wachache — lakini kati yao hakuna aliyekuwa na dalili za nia ya dhati.

Wengi walionyesha dhahiri kuwa walikuja kwa nia ya urafiki wa mawasiliano tu — kupiga simu, kutumiana ujumbe, na kupotezeana muda bila kuwa na malengo makubwa au hatua za maana.

Naomba ieleweke wazi kuwa mwanamke unapopatwa na upweke wa urafiki wa kiume(Boyfriend) au umegombana na mwenza wako, suluhisho haliwezi kupatikana kwa wanaume tunaotafuta mahusiano ya kudumu, usijisahaulishe kuwa wewe wakati huo unahitaji mwanaume wa kupunguza mawazo tu au kufurahi nae kwa muda mfupi tu halafu umuache na uende kwa mwenza wako baada ya kumaliza ugomvi wenu mnarudiana.

Yaani inavunja moyo sana kwa mimi niliyekuja hapa kwa nia thabiti ya kutafuta mwenza wa maisha halafu wewe unaleta drama za kuendekeza starehe na mitoko ya anasa na kutoa taarifa za uongo eti uko msibani umekwama nauli hapo hapo mwenye nyumba anakudai kodi, eti huna hela ya kula, gafla mkataba na kampuni unayofanya kazi umeisha leo, eti kwa sasa unatafuta kazi, unasahau ulijitambulisha kuwa wewe ni mjasiriamali umejiajiri na unaishi kwa wazazi wako... kwakweli inashangaza sana na sijui kwanini wanawake wa aina hiyo bado wanaendelea kufanya hivyo vituko dunia ya leo!

Hivyo, naomba kwa heshima na unyenyekevu:
Wale wasiokuwa na nia ya dhati au wanaotaka mawasiliano ya kujifurahisha tu, tafadhali siwahitaji kabisa.
Ni vyema kila binadamu tukajifunza kuheshimu hisia za watu, hasa pale mtu anapokuja kwako kwa matumaini na imani kuwa atapata majibu ya maswali aliyonayo.

Sio busara kucheza na hisia za mtu ambaye anatafuta mwenza wa maisha.

Bado ninaamini jukwaa hili lina watu sahihi, na nina matumaini makubwa kuwa nitakutana na mtu mwenye malengo na nia kama yangu.

Kama wewe mwanamke unajiona una sifa hizo na uko tayari kwa hatua za maana, tafadhali niandikie DM na tuanze kufahamiana.


Asanteni sana kwa muda wenu na pia asante kwa kutenga nafasi ya kusoma andiko hili.
 
Habari zenu wanajamii,

Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye maono ya kujenga uhusiano wa imara, wa heshima, na unaoelekea kwenye ndoa.

Itapendeza zaidi kama anaishi hapa Dar es Salaam, lakini kama yupo mkoa mwingine, ningefurahia kama anaweza kuwa na utaratibu wa kufika Dar mara kwa mara au awe tayari kuhamia hapa ili tuwe karibu zaidi.

Sina ubaguzi wa kabila, ila nikimpata mwenye asili ya Kichaga itanipendeza zaidi.
Muhimu zaidi ni mtu mwelewa, mkweli, mwenye heshima, na anayetafuta mapenzi ya dhati na maisha ya ushirikiano wa milele.

Napenda kusisitiza jambo moja muhimu sana:
Katika tangazo langu la awali, walijitokeza wanawake wachache — lakini kati yao hakuna aliyekuwa na dalili za nia ya dhati.

Wengi walionyesha dhahiri kuwa walikuja kwa nia ya urafiki wa mawasiliano tu — kupiga simu, kutumiana ujumbe, na kupotezeana muda bila kuwa na malengo makubwa au hatua za maana.

Naomba ieleweke wazi kuwa mwanamke unapopatwa na upweke wa urafiki wa kiume(Boyfriend) au umegombana na mwenza wako, suluhisho haliwezi kupatikana kwa wanaume tunaotafuta mahusiano ya kudumu, usijisahaulishe kuwa wewe wakati huo unahitaji mwanaume wa kupunguza mawazo tu au kufurahi nae kwa muda mfupi tu halafu umuache na uende kwa mwenza wako baada ya kumaliza ugomvi wenu mnarudiana.

Yaani inavunja moyo sana kwa mimi niliyekuja hapa kwa nia thabiti ya kutafuta mwenza wa maisha halafu wewe unaleta drama za kuendekeza starehe na mitoko ya anasa na kutoa taarifa za uongo eti uko msibani umekwama nauli hapo hapo mwenye nyumba anakudai kodi, eti huna hela ya kula, gafla mkataba na kampuni unayofanya kazi umeisha leo, eti kwa sasa unatafuta kazi, unasahau ulijitambulisha kuwa wewe ni mjasiriamali umejiajiri na unaishi kwa wazazi wako... kwakweli inashangaza sana na sijui kwanini wanawake wa aina hiyo bado wanaendelea kufanya hivyo vituko dunia ya leo!

Hivyo, naomba kwa heshima na unyenyekevu:
Wale wasiokuwa na nia ya dhati au wanaotaka mawasiliano ya kujifurahisha tu, tafadhali siwahitaji kabisa.
Ni vyema kila binadamu tukajifunza kuheshimu hisia za watu, hasa pale mtu anapokuja kwako kwa matumaini na imani kuwa atapata majibu ya maswali aliyonayo.

Sio busara kucheza na hisia za mtu ambaye anatafuta mwenza wa maisha.

Bado ninaamini jukwaa hili lina watu sahihi, na nina matumaini makubwa kuwa nitakutana na mtu mwenye malengo na nia kama yangu.

Kama wewe mwanamke unajiona una sifa hizo na uko tayari kwa hatua za maana, tafadhali niandikie DM na tuanze kufahamiana.


Asanteni sana kwa muda wenu na pia asante kwa kutenga nafasi ya kusoma andiko hili.
Kila la kheri Mkuu
 
Naomba ieleweke wazi kuwa mwanamke unapopatwa na upweke wa urafiki wa kiume(Boyfriend) au umegombana na mwenza wako, suluhisho haliwezi kupatikana kwa wanaume tunaotafuta mahusiano ya kudumu, usijisahaulishe kuwa wewe wakati huo unahitaji mwanaume wa kupunguza mawazo tu au kufurahi nae kwa muda mfupi tu halafu umuache na uende kwa mwenza wako baada ya kumaliza ugomvi wenu mnarudiana.
Hawa Wahuni wa kike wapo wengi sana hawa ni lundo hawawezi kuachana na eX eti linataka wewe uwe km eX mazafaka what did you sei? "Nataka uwe km eX wangu" Okay good stupid fool go fuk yua selfu
 
Yaani inavunja moyo sana kwa mimi niliyekuja hapa kwa nia thabiti ya kutafuta mwenza wa maisha halafu wewe unaleta drama za kuendekeza starehe na mitoko ya anasa na kutoa taarifa za uongo eti uko msibani umekwama nauli hapo hapo mwenye nyumba anakudai kodi, eti huna hela ya kula, gafla mkataba na kampuni unayofanya kazi umeisha leo, eti kwa sasa unatafuta kazi, unasahau ulijitambulisha kuwa wewe ni mjasiriamali umejiajiri na unaishi kwa wazazi wako... kwakweli inashangaza sana na sijui kwanini wanawake wa aina hiyo bado wanaendelea kufanya hivyo vituko dunia ya leo!
Kanakwambia eti "Mimi napenda sana Zawadi na Outings" kumbe anakupanga akupige hapo tayari anamrejesha eX kwenye line, wewe anataka akuumize apite hivi, hapo kwenye vizawadi ndio atapashikilia sana "Mimi napenda Zawadi sana" ukisikia Zawadi imefanywa km ndio msimamizi wa mahusiano yenu tell that Bitch go fuk yua selfu
 
Kanakwambia eti "Mimi napenda sana Zawadi na Outings" kumbe anakupanga akupige hapo tayari anamrejesha eX kwenye line, wewe anataka akuumize apite hivi, hapo kwenye vizawadi ndio atapashikilia sana "Mimi napenda Zawadi sana" ukisikia Zawadi imefanywa km ndio msimamizi wa mahusiano yenu tell that Bitch go fuk yua selfu
Ni kweli, wanakausemi eti;
"...nampenda sana mwanaume anaeyenijali.."
 
Ni kweli, wanakausemi eti;
"...nampenda sana mwanaume anaeyenijali.."
Hapo ukifika hapo basi jua kuna njemba imepaki bus huko upande wa pili wewe unatengenezewa mazingira ya kuumizwa, halfu unajua wanawake mafala sana mimi ikifika hio hatua namchana kabisa chagua moja unaenda au unabaki, sasa mengi yalivyo mafala yanakupimia upepo wa siku kadhaa litasema nabaki ila msimamo ni uleule nipe Zawadi kumbe huku nyuma eX kashawekwa kwenye mfumo wewe unapigwa danadana ukijaa ukaanza kutoa tu umekwisha, kwa hio atapima siku 2 ya 3 akiona umekaza utasikia "tuachane mimi siwezi kua na mwanaume wa hivi" anasema hivyo sababu washamalizana na eX wake na hapo anatafuta kuonewa huruma huku akiangalia km umeshtukia mchezo ukiwa fala utaona huruma na utaanza kutoa kila ulichonacho kumbe unapigwa, jibu langu hua ni moja tu "Goodbye bitch go fuk yuaselfu"
 
Hapo ukifika hapo basi jua kuna njemba imepaki bus huko upande wa pili wewe unatengenezewa mazingira ya kuumizwa, halfu unajua wanawake mafala sana mimi ikifika hio hatua namchana kabisa chagua moja unaenda au unabaki, sasa mengi yalivyo mafala yanakupimia upepo wa siku kadhaa litasema nabaki ila msimamo ni uleule nipe Zawadi kumbe huku nyuma eX kashawekwa kwenye mfumo wewe unapigwa danadana ukijaa ukaanza kutoa tu umekwisha, kwa hio atapima siku 2 ya 3 akiona umekaza utasikia "tuachane mimi siwezi kua na mwanaume wa hivi" hapo anatafuta kuonewa huruma, jibu langu hua ni moja tu "Goodbye bitch go fuk yuaselfu"

Kwa hali ilivyo kwa sasa haswa kwenye mitandao ya kijamii wamejazana sana wanawake wanaonadi sera za 'udangaji' na kutaka kuaminisha uma kuwa mwanamke yupo kwa ajili ya kulipwa fedha ili awe kwenye mahusiano na mwanaume anayetoa hizo fedha, na inakuwa hivyo kila wakati unapaswa kutoa fedha na ukishindwa anaenda kwa mwingine mwenye utayari huo.

Kwa upande wangu naona jinsi vizazi vinavyoendelea kuathiriwa na hayo maudhui yanayoendelea kusambazwa kwenye mitandao na kuwafanya mabinti zetu wadogo kuanza kujiwekea mtazamo wa kujiuza miili yao na hata kuamini kuwa mwanaume kwake hana nafasi zaidi ni pesa tu ndio muhimu kwake.
Na zaidi naona jamii nayo hata wanaume baadhi nao wanatoa ushirikiano kwenye 'Udangaji' kwa kuja na misemo na kampeni mbalimbali kama ile ya kipuuzi sana inayonikera eti; "...mwanaume tafuta hela, mwanamke anataka hela..." kiukweli maadili yamevamiwa sana na haswa hili kundi la 'wadangaji' lisipokemewa litaondosha kabisa ile maana ya upendo wa dhati kwa mwanaume na mwanamke.
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa haswa kwenye mitandao ya kijamii wamejazana sana wanawake wanaonadi sera za 'udangaji' na kutaka kuaminisha uma kuwa mwanamke yupo kwa ajili ya kulipwa fedha ili awe kwenye mahusiano na mwanaume anayetoa hizo fedha, na inakuwa hivyo kila wakati unapaswa kutoa fedha na ukishindwa anaenda kwa mwingine mwenye utayari huo.

Kwa upande wangu naona jinsi vizazi vinavyoendelea kuathiriwa na hayo maudhui yanayoendelea kusambazwa kwenye mitandao na kuwafanya mabinti zetu wadogo kuanza kujiwekea mtazamo wa kujiuza miili yao na hata kuamini kuwa mwanaume kwake hana nafasi zaidi ni pesa tu ndio muhimu kwake.
Na zaidi naona jamii nayo hata wanaume baadhi nao wanatoa ushirikiano kwenye 'Udangaji' kwa kuja na misemo na kampeni mbalimbali kama ile ya kipuuzi sana inayonikera eti; "...mwanaume tafuta hela, mwanamke anataka hela..." kiukweli maadili yamevamiwa sana na haswa hili kundi la 'wadangaji' lisipokemewa litaondosha kabisa ile maana ya upendo wa dhati kwa mwanaume na mwanamke.
Hapo umesema ukweli kabisa na kibaya zaidi wanajisahau kwamba tunajua akisema nini anamaanisha nini, just imagine mfano mdogo tu mmekutana haizidi hata wiki moja tu. Tena wiki kwao ni km mwaka anaona parefu sana kabla ya kuanza wengine hua wanaanza siku hio hio Vocha sijui MB kufanya nini hapa na hapa kashaanza mama kalazwa anatakiwa kufanyiwa operation na hapa sina kitu inahitajika km Million 2.5 ya haraka ili mama afanyiwe upasuaji, I was like watafuk hivi kabla ya mimi wewe bitch ulikua unaishije? Mimi kuingia kwako ndio nimekua mchongo wako yaan unataka unipige mchana kweupe, hapo atakuja na blabla za makasiriko na kumtaja eX wake juu, namwambia "Goodbye bitch go fuk yuaselfu"
 
Habari zenu wanajamii,

Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye maono ya kujenga uhusiano wa imara, wa heshima, na unaoelekea kwenye ndoa.

Itapendeza zaidi kama anaishi hapa Dar es Salaam, lakini kama yupo mkoa mwingine, ningefurahia kama anaweza kuwa na utaratibu wa kufika Dar mara kwa mara au awe tayari kuhamia hapa ili tuwe karibu zaidi.

Sina ubaguzi wa kabila, ila nikimpata mwenye asili ya Kichaga itanipendeza zaidi.
Muhimu zaidi ni mtu mwelewa, mkweli, mwenye heshima, na anayetafuta mapenzi ya dhati na maisha ya ushirikiano wa milele.

Napenda kusisitiza jambo moja muhimu sana:
Katika tangazo langu la awali, walijitokeza wanawake wachache — lakini kati yao hakuna aliyekuwa na dalili za nia ya dhati.

Wengi walionyesha dhahiri kuwa walikuja kwa nia ya urafiki wa mawasiliano tu — kupiga simu, kutumiana ujumbe, na kupotezeana muda bila kuwa na malengo makubwa au hatua za maana.

Naomba ieleweke wazi kuwa mwanamke unapopatwa na upweke wa urafiki wa kiume(Boyfriend) au umegombana na mwenza wako, suluhisho haliwezi kupatikana kwa wanaume tunaotafuta mahusiano ya kudumu, usijisahaulishe kuwa wewe wakati huo unahitaji mwanaume wa kupunguza mawazo tu au kufurahi nae kwa muda mfupi tu halafu umuache na uende kwa mwenza wako baada ya kumaliza ugomvi wenu mnarudiana.

Yaani inavunja moyo sana kwa mimi niliyekuja hapa kwa nia thabiti ya kutafuta mwenza wa maisha halafu wewe unaleta drama za kuendekeza starehe na mitoko ya anasa na kutoa taarifa za uongo eti uko msibani umekwama nauli hapo hapo mwenye nyumba anakudai kodi, eti huna hela ya kula, gafla mkataba na kampuni unayofanya kazi umeisha leo, eti kwa sasa unatafuta kazi, unasahau ulijitambulisha kuwa wewe ni mjasiriamali umejiajiri na unaishi kwa wazazi wako... kwakweli inashangaza sana na sijui kwanini wanawake wa aina hiyo bado wanaendelea kufanya hivyo vituko dunia ya leo!

Hivyo, naomba kwa heshima na unyenyekevu:
Wale wasiokuwa na nia ya dhati au wanaotaka mawasiliano ya kujifurahisha tu, tafadhali siwahitaji kabisa.
Ni vyema kila binadamu tukajifunza kuheshimu hisia za watu, hasa pale mtu anapokuja kwako kwa matumaini na imani kuwa atapata majibu ya maswali aliyonayo.

Sio busara kucheza na hisia za mtu ambaye anatafuta mwenza wa maisha.

Bado ninaamini jukwaa hili lina watu sahihi, na nina matumaini makubwa kuwa nitakutana na mtu mwenye malengo na nia kama yangu.

Kama wewe mwanamke unajiona una sifa hizo na uko tayari kwa hatua za maana, tafadhali niandikie DM na tuanze kufahamiana.


Asanteni sana kwa muda wenu na pia asante kwa kutenga nafasi ya kusoma andiko hili.
Hapo kwenye dini hapo tofaut na hapo nngekuja
 
Habari zenu wanajamii,

Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati.

Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye maono ya kujenga uhusiano wa imara, wa heshima, na unaoelekea kwenye ndoa.

Itapendeza zaidi kama anaishi hapa Dar es Salaam, lakini kama yupo mkoa mwingine, ningefurahia kama anaweza kuwa na utaratibu wa kufika Dar mara kwa mara au awe tayari kuhamia hapa ili tuwe karibu zaidi.

Sina ubaguzi wa kabila, ila nikimpata mwenye asili ya Kichaga itanipendeza zaidi.
Muhimu zaidi ni mtu mwelewa, mkweli, mwenye heshima, na anayetafuta mapenzi ya dhati na maisha ya ushirikiano wa milele.

Napenda kusisitiza jambo moja muhimu sana:
Katika tangazo langu la awali, walijitokeza wanawake wachache — lakini kati yao hakuna aliyekuwa na dalili za nia ya dhati.

Wengi walionyesha dhahiri kuwa walikuja kwa nia ya urafiki wa mawasiliano tu — kupiga simu, kutumiana ujumbe, na kupotezeana muda bila kuwa na malengo makubwa au hatua za maana.

Naomba ieleweke wazi kuwa mwanamke unapopatwa na upweke wa urafiki wa kiume(Boyfriend) au umegombana na mwenza wako, suluhisho haliwezi kupatikana kwa wanaume tunaotafuta mahusiano ya kudumu, usijisahaulishe kuwa wewe wakati huo unahitaji mwanaume wa kupunguza mawazo tu au kufurahi nae kwa muda mfupi tu halafu umuache na uende kwa mwenza wako baada ya kumaliza ugomvi wenu mnarudiana.

Yaani inavunja moyo sana kwa mimi niliyekuja hapa kwa nia thabiti ya kutafuta mwenza wa maisha halafu wewe unaleta drama za kuendekeza starehe na mitoko ya anasa na kutoa taarifa za uongo eti uko msibani umekwama nauli hapo hapo mwenye nyumba anakudai kodi, eti huna hela ya kula, gafla mkataba na kampuni unayofanya kazi umeisha leo, eti kwa sasa unatafuta kazi, unasahau ulijitambulisha kuwa wewe ni mjasiriamali umejiajiri na unaishi kwa wazazi wako... kwakweli inashangaza sana na sijui kwanini wanawake wa aina hiyo bado wanaendelea kufanya hivyo vituko dunia ya leo!

Hivyo, naomba kwa heshima na unyenyekevu:
Wale wasiokuwa na nia ya dhati au wanaotaka mawasiliano ya kujifurahisha tu, tafadhali siwahitaji kabisa.
Ni vyema kila binadamu tukajifunza kuheshimu hisia za watu, hasa pale mtu anapokuja kwako kwa matumaini na imani kuwa atapata majibu ya maswali aliyonayo.

Sio busara kucheza na hisia za mtu ambaye anatafuta mwenza wa maisha.

Bado ninaamini jukwaa hili lina watu sahihi, na nina matumaini makubwa kuwa nitakutana na mtu mwenye malengo na nia kama yangu.

Kama wewe mwanamke unajiona una sifa hizo na uko tayari kwa hatua za maana, tafadhali niandikie DM na tuanze kufahamiana.


Asanteni sana kwa muda wenu na pia asante kwa kutenga nafasi ya kusoma andiko hili.
Mkuu naona kama uko serious sana kwa issue hii!

Lakini ninachojiuliza, hawa anonymous women wa mtandaoni wana utam gani kuweza kuwafuatilia kindaki ndaki namna hii kuliko wanawake wa mtaani ambao unaweza kupata background zao vizuri sana na ukafanya maamuzi yaliyo sahihi?

Nini kinakuvutia hasa kushobokea wanawake usiowajua?

Kumbuka ndoa ni kama sumu, haionjwi wala kujaribiwa.

Ukikosea kuchagua, ama ukachagua mwenza kwa mihemko, itakucost almost maisha yako yote.

Jitafakari
 
Mkuu naona kama uko serious sana kwa issue hii!

Lakini ninachojiuliza, hawa anonymous women wa mtandaoni wana utam gani kuweza kuwafuatilia kindaki ndaki namna hii kuliko wanawake wa mtaani ambao unaweza kupata background zao vizuri sana na ukafanya maamuzi yaliyo sahihi?

Nini kinakuvutia hasa kushobokea wanawake usiowajua?

Kumbuka ndoa ni kama sumu, haionjwi wala kujaribiwa.

Ukikosea kuchagua, ama ukachagua mwenza kwa mihemko, itakucost almost maisha yako yote.

Jitafakari
Asante sana mkuu, umenipa ushauri mzuuri sana na ninashukuru sana kwa hilo.

Binafsi nina changamoto sana ya kupata nafasi ya kudhuru mitaa yetu ili kutafuta mwenza kutokana na majukumu niliyonayo. Hata hivyo ntajitahidi kufata ushauri wako labda yawezekana ntafanikiwa kwa upande huo.
 
Back
Top Bottom