Natafuta mwenza wa maisha serious

Natafuta mwenza wa maisha serious

Labda kila mtu anayo namna yake ya kukutana na mwenzie, kwani lazima iwe uniform? Swali ni, je ni sababu gani ili(ina)yokufanya utake ingia kwenye mahusiano hasa haya ya ndoa? je mtazamo wako kuhusu ndoa ni nini? ( labda ndoa ni ndoana au ndoa ni raha tupu au ndoa ni kupeana burudani za kingono tu au....), umekua kiasi gani kimwili na kiroho?.

Je umejipima kwamba hauongozwi na mihemko na tamaa za mwili? Je dini ya huyo binti au background yake sio miongoni mwa vipaumbele vyako? kama sio, kwa nini?
 
Kwa staili hii utapata shida sana kwenye Mahusiano. Yaani unachagua watu kulingana na sura na muonekano .
 
Mwenza humtafuti... Bali unakutanishwa nae via maombi.
Kwa staili hii ndio maana vijana wengi especially mabinti wanakosa wanaume serious sababu ya kuamini kuwa mtu anaemtaka hajafika bado au atakuja na ishara fulani.

Wewe mtafute mtu anaekuvutia na ambaye utaweza mpenda. Na kwa mwanamke usihangaike na swala la kupenda maana hiyo sio kazi yenu..... Ukishaona hauwezi kuheshimu mwanaume jua basi maisha ya ndoa kwako utasikia tu kwenye radio.

Mwanamke anaejikweza au anajiona mwamba na kujilinganisha na mwanaume huyo hata iwaje hatoweza toboa mahusiano atabakia kujihusisha na wanaume tofauti tofauti na mwisho kabisa ni kupigwa mimba na kulea watoto mwenyewe.
 
I love God...I believe in him pasina Shaka.

But nimesikia watu wakisema muweke Mungu rohoni..usiweke mume sijui kazi.nk

Mimi nadhani kumuweka Mungu rohoni Ni kumpa nafasi ya kukuongoza katika maisha yako kufuata mamrisho na kuacha makatazo

Sasa wanasema usiweke mwanaume rohoni...muweke bwana....Sijui huwa wanamaana gani wenzetu...
Ni kucomplicate mambo. Kanuni ipo very simple. Hata kama ukiolewa na mwanaume wa aina gani, maagizo ya MUNGU yanakuelekeza mwanamke kutii na kuheshimu uwepo wa mwanaume wako.

Mwanaume ambaye hana mwenendo mzuri kama ulevi, uasherati, dhuruma, manyanyaso, lugha kali na chafu kwako, asie na huruma na wewe pale unapokwama na wazi wazi akijua unateseka na uwezo wa kukusaidia anao ila anaamua kuchagua kutokukusaidia kusudi kabisa ili kukutesa hisia na kimwili. Haya yote hayatakiwi kuvumiliwa bali unatakiwa kuyaepuka na kutemana nae na kutafuta yule ataekupenda na kukupa nafasi ya kumheshimu.

Ila shida wadada siku hizi hamuangalii zile vigezo muhimu za mwanaume wakati wa kuanza maisha ya mahusiano mnatazama pesa hii ndio inawapoteza malengo na matokeo yake inakufanya ukosee kujua mtu sahihi kwako.

Unakuta mwingine ana nyanyaswa ila atavumilia sababu anapata mahitaji yake. Huu ni upopoma.
 
Mkuu naweza kukuunganisha na huyu?
162005.jpg
162204.jpg
 
Ni kucomplicate mambo. Kanuni ipo very simple. Hata kama ukiolewa na mwanaume wa aina gani, maagizo ya MUNGU yanakuelekeza mwanamke kutii na kuheshimu uwepo wa mwanaume wako.

Mwanaume ambaye hana mwenendo mzuri kama ulevi, uasherati, dhuruma, manyanyaso, lugha kali na chafu kwako, asie na huruma na wewe pale unapokwama na wazi wazi akijua unateseka na uwezo wa kukusaidia anao ila anaamua kuchagua kutokukusaidia kusudi kabisa ili kukutesa hisia na kimwili. Haya yote hayatakiwi kuvumiliwa bali unatakiwa kuyaepuka na kutemana nae na kutafuta yule ataekupenda na kukupa nafasi ya kumheshimu.

Ila shida wadada siku hizi hamuangalii zile vigezo muhimu za mwanaume wakati wa kuanza maisha ya mahusiano mnatazama pesa hii ndio inawapoteza malengo na matokeo yake inakufanya ukosee kujua mtu sahihi kwako.

Unakuta mwingine ana nyanyaswa ila atavumilia sababu anapata mahitaji yake. Huu ni upopoma.
Huo tunauita unyengele...siku hizi
 
Mke inatakiwa uwe umemzidi umri kwa zaidi ya miaka mitano.

Mke wa miaka 18 -20 anakufaa zaidi. Huo umri ulioutaja mtoa mada utakuwa umeoa dada yako. Wanawake wanachuja na kuzeeka haraka kuliko wanaume.
 
Mzee mwenzangu mzee wa churaa threads kama hz
hazkuptagi kabsaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1]ila rafiki kwenye avatar yako una mdomo mzuri sana!I wish......[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom