Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzgo wote huo kuuweka kwa bodaboda n dhamb na matumz mabaya ya churA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shda sio mm huyo.... Cjuiila rafiki kwenye avatar yako una mdomo mzuri sana!I wish......[emoji39][emoji39][emoji39]
Usafiri Mkuu Sasa lembebezi Hana hata kigari.....Ndo hivyo tunawai Wai...kwa bodabodaMzgo wote huo kuuweka kwa bodaboda n dhamb na matumz mabaya ya churA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😬😬😬🏃Shda sio mm huyo.... Cjui
itakuaje sasa[emoji16][emoji23][emoji23]
Aiseee! Idea bomba sana hii; kinatafutwa kilichopotea. Kama hakijapotea, unakutanishwa nacho 🙂Mwenza humtafuti... Bali unakutanishwa nae via maombi.
He is in the losing team; he suspects pengine his future yeye atakuwa kwenye winning side. Mianaume mingine buwanaaa!???Hapo kwenye NB mie hoi
Tatizo ni nini kwa aliye shabiki wa mpira?
Siye huyu CreditAnalyst nimjuaye, labda umemchanganya na Financial Analyst !??? Curve yake huyu bidada ni exponential growth 🙂yupo at peak atapunguza tu time inavyozidi kwenda
UnderstoodKwa staili hii ndio maana vijana wengi especially mabinti wanakosa wanaume serious sababu ya kuamini kuwa mtu anaemtaka hajafika bado au atakuja na ishara fulani.
Wewe mtafute mtu anaekuvutia na ambaye utaweza mpenda. Na kwa mwanamke usihangaike na swala la kupenda maana hiyo sio kazi yenu..... Ukishaona hauwezi kuheshimu mwanaume jua basi maisha ya ndoa kwako utasikia tu kwenye radio.
Mwanamke anaejikweza au anajiona mwamba na kujilinganisha na mwanaume huyo hata iwaje hatoweza toboa mahusiano atabakia kujihusisha na wanaume tofauti tofauti na mwisho kabisa ni kupigwa mimba na kulea watoto mwenyewe.
Wale wanaume wanaotukana wadada kwamba wana ^upopoma^ tuwaweke kundi gani!???Ni kucomplicate mambo. Kanuni ipo very simple. Hata kama ukiolewa na mwanaume wa aina gani, maagizo ya MUNGU yanakuelekeza mwanamke kutii na kuheshimu uwepo wa mwanaume wako.
Mwanaume ambaye hana mwenendo mzuri kama ulevi, uasherati, dhuruma, manyanyaso, lugha kali na chafu kwako, asie na huruma na wewe pale unapokwama na wazi wazi akijua unateseka na uwezo wa kukusaidia anao ila anaamua kuchagua kutokukusaidia kusudi kabisa ili kukutesa hisia na kimwili. Haya yote hayatakiwi kuvumiliwa bali unatakiwa kuyaepuka na kutemana nae na kutafuta yule ataekupenda na kukupa nafasi ya kumheshimu.
Ila shida wadada siku hizi hamuangalii zile vigezo muhimu za mwanaume wakati wa kuanza maisha ya mahusiano mnatazama pesa hii ndio inawapoteza malengo na matokeo yake inakufanya ukosee kujua mtu sahihi kwako.
Unakuta mwingine ana nyanyaswa ila atavumilia sababu anapata mahitaji yake. Huu ni upopoma.
Hapa ungetoa mfano. Mimi nitajuaje kama ndio huyu nimekutanishwa nae na tutaanzia wapi. Si ni lazima nimtamkie nampenda, akikataa kabisa natafuta mwingine mpaka atakayekubali. Au from nowhere atasema nimuoeUmeongea point nimekupa like
Kila siku nawaambia hawa vijana mwenza wa maisha hatafutwi never ever
Hawaelewi
Muombe Mungu atawakutanisha wala humtongoz hata kidogo
Mkuu naweza kukuunganisha na huyu?View attachment 1708361View attachment 1708362
🤣🤣🤣Kwa nini ukimbie mkuu?Si nakimbia
Maombi yakukutanishe na mpenzi hebu acha kudanganya, wachumba wanatafutwa, kwa wasichana mara nyingi huolewa na watu wanaowafahamu mtaani, makazini au sehemu za kazi au marafiki wa watu wanaowafahamu hakuna maombi hapoMwenza humtafuti... Bali unakutanishwa nae via maombi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo hamnaUsafiri Mkuu Sasa lembebezi Hana hata kigari.....Ndo hivyo tunawai Wai...kwa bodaboda