mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 537
- 837
Yupo at peak, atapunguza tu time inavyozidi kwendaAnakutosha umri tu, lakini CreditAnalyst ana vigezo & masharti kontena nzima 4 hadi 5 hivi za futi 20
Kwa staili hii ndio maana vijana wengi especially mabinti wanakosa wanaume serious sababu ya kuamini kuwa mtu anaemtaka hajafika bado au atakuja na ishara fulani.Mwenza humtafuti... Bali unakutanishwa nae via maombi.
Ni kucomplicate mambo. Kanuni ipo very simple. Hata kama ukiolewa na mwanaume wa aina gani, maagizo ya MUNGU yanakuelekeza mwanamke kutii na kuheshimu uwepo wa mwanaume wako.I love God...I believe in him pasina Shaka.
But nimesikia watu wakisema muweke Mungu rohoni..usiweke mume sijui kazi.nk
Mimi nadhani kumuweka Mungu rohoni Ni kumpa nafasi ya kukuongoza katika maisha yako kufuata mamrisho na kuacha makatazo
Sasa wanasema usiweke mwanaume rohoni...muweke bwana....Sijui huwa wanamaana gani wenzetu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kwenye NB mie hoi
Tatizo ni nini kwa aliye shabiki wa mpira?
Wadada mkuje na huku
Huo tunauita unyengele...siku hiziNi kucomplicate mambo. Kanuni ipo very simple. Hata kama ukiolewa na mwanaume wa aina gani, maagizo ya MUNGU yanakuelekeza mwanamke kutii na kuheshimu uwepo wa mwanaume wako.
Mwanaume ambaye hana mwenendo mzuri kama ulevi, uasherati, dhuruma, manyanyaso, lugha kali na chafu kwako, asie na huruma na wewe pale unapokwama na wazi wazi akijua unateseka na uwezo wa kukusaidia anao ila anaamua kuchagua kutokukusaidia kusudi kabisa ili kukutesa hisia na kimwili. Haya yote hayatakiwi kuvumiliwa bali unatakiwa kuyaepuka na kutemana nae na kutafuta yule ataekupenda na kukupa nafasi ya kumheshimu.
Ila shida wadada siku hizi hamuangalii zile vigezo muhimu za mwanaume wakati wa kuanza maisha ya mahusiano mnatazama pesa hii ndio inawapoteza malengo na matokeo yake inakufanya ukosee kujua mtu sahihi kwako.
Unakuta mwingine ana nyanyaswa ila atavumilia sababu anapata mahitaji yake. Huu ni upopoma.
Unyegele ndio jambo gani?!Huo tunauita unyengele...siku hizi
Kheee wewe..umepata wapi picha yangu[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu naweza kukuunganisha na huyu?View attachment 1708361View attachment 1708362
π π Bora hata tupendane wenyeweππ
Kama ni wewe naleta mahari leoleo!πππKheee wewe..umepata wapi picha yangu[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...huyo ndo.mimi.siku ya Valentine nikiwai myanduanoKama ni wewe naleta mahari leoleo![emoji1][emoji1][emoji1]
Mzee mwenzangu mzee wa churaa threads kama hzMkuu naweza kukuunganisha na huyu?View attachment 1708361View attachment 1708362
πππ[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...huyo ndo.mimi.siku ya Valentine nikiwai myanduano
[emoji1][emoji1][emoji1]ila rafiki kwenye avatar yako una mdomo mzuri sana!I wish......[emoji39][emoji39][emoji39]Mzee mwenzangu mzee wa churaa threads kama hz
hazkuptagi kabsaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzgo wote huo kuuweka kwa bodaboda n dhamb na matumz mabaya ya churA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...huyo ndo.mimi.siku ya Valentine nikiwai myanduano