Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakayekubeza ni PM nitadeal nae.....:angry:Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.
chentuntu ndeko na biso,otikala mozemba tango malai te.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ayari-post1492997.html?highlight=#post1492997
CV yako haitoshi Mum!
hebu naomba delete hii thread halafu hamia pm
nimekusoma mkuu
Mwenyewe nilitaka kuuliza!Wanataka watongozwe badala ya kutongoza wao!Nyie wanaume vipi? Si muanze nyie kumPm. Kwani pm zenu zaingia tu kutoka no?
Mwenyewe nilitaka kuuliza!Wanataka watongozwe badala ya kutongoza wao!
Mwenyewe nilitaka kuuliza!Wanataka watongozwe badala ya kutongoza wao!
kwani nyie mkitongoza kuna tatizo?
hapo chacha. Mi muda mrefu nawasoma hata posts za nyuma.
Aibu na uoga hadi kwenye keyboard!
Husninyo watu huwa hawapendi ku PM wakashushuliwa ama wasijibiwe
at least yeye aki PM inakuwa rahisi kujibiwa maana inaonekana nia ipo na hali ya kupigwa kibutt si sana
kwani nyie mkitongoza kuna tatizo?