Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanazingua sana humu, wasikukatishe tamaa., Nina miaka 25 Nimwajiliwa naita mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza naiji ndoa
Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
Umri wake uwe 35 kushuka chini mpka 28
www.lilylome@gmail.com
narudia hivi wacha kutetemeka ili usomeke vema.......nimeajiliwa ndio kitu gani? ujuaji wako utaishiwa vijana kujifunza kulenga shabaha....unaachwa na matobo kibao.....Sio kosa lako ni kwa walokufunza namna ya kuzungumza Tena mbele ya umma
Nikiedit
Nimeku pm ila naona response hakuna.Nina miaka 25, ni mwajiriwa.
Nahitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza nahitaji ndoa
Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha Mungu na mwenye hofu ya mungu
Umri wake uwe 35 kushuka chini mpka 28
www.lilylome@gmail.com