Natafuta mwenza

Bado msichana mdogo,jitahidi kuhudhuria misa/ibada na mafunzo ya kidini....
Mungu atakupea wakufanana na wewe...

Eti awe mkristu,aishi dar!!!! Punguza vigezo kandamizi
😀😀
 
waoaji ni wenye 41-50 hao nao huwataki?
 

Unaitaji wanaume wa darl na bado unaweka masharti🤔 auko silias
 
Na wanaume wengi weupe wanaongoza kupakuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…