Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

Inferiority ama superiority mkuu?

Watu tunasumbiliwa na mademu hadi tunawatafutia vijisababu uchwara kuwatema halafu wasemaje tena?

Ninao wake wawili mkuu lakini bado wanawake wananisunbua sana mtaani kwasababu ya rangi zetu hizi za mitume.
Why tusikuweke kundi la malaya kuliko kujinasib wewe mweupe. Kwanza wanawake wanapenda zaidi mwanaume mweusi labda mdada awe mwwusi ndo atapenda mwanaume mweupe. Yaan mdada awe mrembo, na mwanaume pia uwe mrembo
 
Omba sana Mungu,in heri kukutana na mtu ukitoka matembezini,kanisani,sokoni,au popote pale kuliko kutafuta humu.JITULIZE.
 
Usichague mtu kwa vigezo vyako! Mwambie Mungu akutafutie wa kufanana na wewe.
 
Namshangaa sana huyu jamaa anajivunia weupe wake, kwanza mwanaume huwa tunajivunia pesa sio sura
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Mrejesho
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Nina vigezo vyote karibu
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Nichekie PM tulijadili plz
 
Back
Top Bottom