Natafuta nafasi ya kuichezea klabu yoyote inayoshiriki NBC Premier League Tanzania

Mpira haupo ivyo mkuu
Ni kweli, but that is according to bongo stigma.

Hii ni karne ya 21 na wote tumeshuhudia mambo mengi "impossible" yakiwa "possible", katika nyanja mbalimbali za maisha (Hata JPM na Colonel Sanders wa KFC walituonyesha mfano).

Katika mpira, hujawahi hata kusikia historia za kina Toni, Klose, Vardy na Drogba? Au unafikiri hayo hayawezekani kwa Tanzania? Kweli wakoloni walituharibu.

Soma kwanza hii post, ili ujifunze kitu.
15 Famous Soccer Players Who Started Playing Late
15 Famous Soccer Players Who Started Playing Late – Authority Soccer
 
Tafuta hata timu za daraja la tatu zinazoshiriki shirikisho
Katika kutafuta kwangu, bado sijapata kwa kweli. Ndio maana nimeona sio vibaya kuweka wazi uhitaji wangu huku, ili iwe rahisi kwa viongozi, makocha au wachezaji wa timu za daraja la 3 (au daraja lolote) kuniona hasa kama nao wanahitaji wachezaji kwa sasa (ni suala la wao kuniita tu kwenye kikosi).

Ila naendelea kufuatilia kwa wadau mbalimbali mtaani na mikoani kama naweza nikapata nafasi mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unfortunately mimi siishi Dar. Hapo ni changamoto kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…