econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kuna utapeli mkubwa unafanyika na serikali ipo kimya. Tena utapeli wa kutumia idara za serikali. Nina ushahidi wote wa namba za wahusika. Naomba mwenye namba ya msaidizi wa Makonda ili nimtumie ushahidi wote na nyaraka za kufoji.
Tumepeleka taarifa polisi tangu February 2024, ila utapeli unaendelea na ni kama polisi wameingia kwenye payroll ya huyo tapeli.
Makonda ndio aliyebakia kuwasaidua wahanga ni kama huu utapeli unahusisha Viongozi wa serikali ndio maana hawachukui hatua.
Tumepeleka taarifa polisi tangu February 2024, ila utapeli unaendelea na ni kama polisi wameingia kwenye payroll ya huyo tapeli.
Makonda ndio aliyebakia kuwasaidua wahanga ni kama huu utapeli unahusisha Viongozi wa serikali ndio maana hawachukui hatua.