Natafuta namna ya kuua au kuwakimbiza mchwa ndani ya nyumba

Natafuta namna ya kuua au kuwakimbiza mchwa ndani ya nyumba

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Wadau ninateswa na chwa kwenye site ambayo ninaendelea na ujenzi. Nyumba bado haijaisha ili watu kuhamia lakini ghafla wamejitokeza mchwa na kusababisha vishimo shimo ndani ya vyumba 2. Baadae tukagundua kuwa unatokea kwa nje ambako kuna onekana pia kuna mashimo ya kichuguu. Na tangu awali sehemu hii haikuuwa na uwepo wa MCHWA Wala kichuguu.

Naomba km kuna mtu amewahi kupambaba na hawa wadudu na kuwaua au kuwafukuza aniambie dawa aliyotumia. Au km kuna mtu anajua dawa (sumu) ya kuwateketeza au kuwakimbiza anisaidie jina la hiyo dawa.

Natanguliza shukrani.
 
Ngoja wajuzi waje. Mchwa na mende ni janga
 
Wadau ninateswa na chwa kwenye site ambayo ninaendelea na ujenzi. Nyumba bado haijaisha ili watu kuhamia lakini ghafla wamejitokeza mchwa na kusababisha vishimo shimo ndani ya vyumba 2. Baadae tukagundua kuwa unatokea kwa nje ambako kuna onekana pia kuna mashimo ya kichuguu. Na tangu awali sehemu hii haikuuwa na uwepo wa MCHWA Wala kichuguu.

Naomba km kuna mtu amewahi kupambana na hawa wadudu na kuwaua au kuwafukuza aniambie dawa aliyotumia. Au km kuna mtu anajua dawa (sumu) ya kuwateketeza au kuwakimbiza anisaidie jina la hiyo dawa.


Natanguliza shukrani.
Rungu!
 
Kuna dawa maduka ya pembejeo zinauzwa 5000-7000 unanunua na pump ya 10k unachanga unapuliza vilivyo utawaweza.
Takutumia picha ukihitaji au kama utakosa.
Kuna maeneo mengi hasa viunga vya chanika kuna nchwa
 
Nenda nunua dawa inaitwa Rocket pata ya lita moja. Changanya 20L ya maji na 100mls ya dawa. Puliza kila mahali walipo.
 
Shida kujua mashimo wanakotoka, kichuguu kinaweza kuwa eneo moja, mchwa wanatoko mita zaidi ya tano mbele, mimi kipindi cha kumbi kumbi wanatoka ukutani kwa njee kwenye vishimo vidogo vidogo wakati najenga kulikuwa na kichuguu kidogo.
 
Wadau ninateswa na chwa kwenye site ambayo ninaendelea na ujenzi. Nyumba bado haijaisha ili watu kuhamia lakini ghafla wamejitokeza mchwa na kusababisha vishimo shimo ndani ya vyumba 2. Baadae tukagundua kuwa unatokea kwa nje ambako kuna onekana pia kuna mashimo ya kichuguu. Na tangu awali sehemu hii haikuuwa na uwepo wa MCHWA Wala kichuguu.

Naomba km kuna mtu amewahi kupambaba na hawa wadudu na kuwaua au kuwafukuza aniambie dawa aliyotumia. Au km kuna mtu anajua dawa (sumu) ya kuwateketeza au kuwakimbiza anisaidie jina la hiyo dawa.

Natanguliza shukrani.
Tafuta dudukiller ya unga, changanya maji, mwaga kwa kichuguu. Kwisha habar yao
 
Kwa upande wangu walikula kenchi had nikashangaa ilhali kenchi zilikuwa na dawa nikashauriwa oili chafu nitumie nikaenda kw mafundi pikipiki wakanipa lita 5 kw buku nilipaka jioni asubuhi sijawakuta nadhani harufu ya oil wanaiogopa had leo maisha ni mpwitopwito sisumbuliwi tena
 
Wadau ninateswa na chwa kwenye site ambayo ninaendelea na ujenzi. Nyumba bado haijaisha ili watu kuhamia lakini ghafla wamejitokeza mchwa na kusababisha vishimo shimo ndani ya vyumba 2. Baadae tukagundua kuwa unatokea kwa nje ambako kuna onekana pia kuna mashimo ya kichuguu. Na tangu awali sehemu hii haikuuwa na uwepo wa MCHWA Wala kichuguu.

Naomba km kuna mtu amewahi kupambaba na hawa wadudu na kuwaua au kuwafukuza aniambie dawa aliyotumia. Au km kuna mtu anajua dawa (sumu) ya kuwateketeza au kuwakimbiza anisaidie jina la hiyo dawa.

Natanguliza shukrani.
Mkuu kwanza pole na pili nimeona comments za wadau humu lakini kwakipendekeza madawa mbalimbali Lakini Kwa ufupi TU ni kuwa sio Kila dawa inafaa Mahali popote.
Dawa za mchwa kwenye majengo ni kama gamma, Gladiator, Twiga, na Adrian solution. Sikuhizi hiyo Twiga na Gladiator ndio zinapatikana hizo nyingine zilipigwa stop.

Na hizo nyingine sijui termite killer n.k ni kwaajiri ya kilimo sanasana.

Hapo kama hiyo gladiator ndio nitapendekeza na matumizi yake ni rahisi TU kuchimba mashimo 40-70cm deep kuzungunga msingi nje na kuzingunguka Kuta za ndani Kwa gep la 45cm.
Kama upo dar lita Moja inauzwa Tsh. 30,000 na nusu ni Tsh 18,000

Unaweza kunicheki 0717682856 kama bado haujapata solution
 

Attachments

  • PXL_20250214_074100973.jpg
    PXL_20250214_074100973.jpg
    294.6 KB · Views: 2
  • PXL_20250214_074048127.jpg
    PXL_20250214_074048127.jpg
    287.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom