Natafuta ng’ombe wa maziwa pure breed

Natafuta ng’ombe wa maziwa pure breed

Unafugia wapi
na unataka ngombe wangapi

je Unajua ABC ya kufuga

Nikiwa kama mfugaji mstaafu nakushauri hivi

1. Anza na malisho,,,,,,narudia tena malisho....weka range ya miezi mitatu sita na mwaka,,,,inakuwaje unaweza kulima mahindi mtama..nakutengeneza silage, high yielding cow mkadirie KG 40 kwa siku

2. chanzo cha maji safi ya kunjwa kiwe cha uhakika

3. Banda, likinge mifugo yako na upepo, mvua na jua kali

4. Vijana angalau wajue abc za kumtunza ngombe,,,kumbuka ngombe 70% ni managament and 30% ni feeding

5. mbegu za ngombe sasa.....Jitahidi saana hapa usichemke kama upo maeneo ya JOTO usitafute pure breed..chotara inakufaa... hii itaadopt visuri..hapa inachukuliwa local cows kama borana na wengine wanapandikizwa mbegu pure cows

ukiweza pata fleckvieh cows hawa ni mazingira yote wanaishi ila upatiikanaji wake ni garama kidogo Kwa Tanganyika tupo wafugaji wachache saana wenye hii mbegu na majority hatuuzi



UTAPATAWAPI MBEGU.......usinunue kwa mtu ambaye hana taarifa za ngombe wake....nenda kwa mashamba makubwa mfano ASAS, Tanga fresh.....kwa ukand wa pwani kama upo huku Nenda MRUAzI TANGA wana mimbegu mizuri saana ya ngombe tena yenye mimba,,,ukipata connection ya mstaafu Kikwete.....utanishukuru baadae......kama upo nyanda za JUU watafute ASAS, Shamba la Philips, Kibebe nk wanambegu poa...Ukiwa kaskazini NENDA chuo cha mifugo tengeru au kituo cha serekali cha uhimilishaji utapewa connection ya watu na mashamba bora ya kununua Mifugo

kikubwa unaweza nunua hata NGOMBE MOJA TU ukamhudumia vizuri akakupa tija kuliko mwenye ngombe 05

la mwisho kila la kheri,,, ukifanikiwa usisahau kurudi hapa na glass ya Maziwa

Kidumu Chama cha Mapinduzi (((((joke))))
Asante sana. Asas wamesimamishankuuza miyamba yao wapo kwenye maboresho. Then bei zao zimesimama 3.5 hadi 4 kwa mtamba

Je hyo breed uliyosema hauuzi inatoaje maziwa kwa wastani?
Kwa style uliyosema 70% ni management hapa nimekuelewa vyema. Mungu akubariki.
 
Unafugia wapi
na unataka ngombe wangapi

je Unajua ABC ya kufuga

Nikiwa kama mfugaji mstaafu nakushauri hivi

1. Anza na malisho,,,,,,narudia tena malisho....weka range ya miezi mitatu sita na mwaka,,,,inakuwaje unaweza kulima mahindi mtama..nakutengeneza silage, high yielding cow mkadirie KG 40 kwa siku

2. chanzo cha maji safi ya kunjwa kiwe cha uhakika

3. Banda, likinge mifugo yako na upepo, mvua na jua kali

4. Vijana angalau wajue abc za kumtunza ngombe,,,kumbuka ngombe 70% ni managament and 30% ni feeding

5. mbegu za ngombe sasa.....Jitahidi saana hapa usichemke kama upo maeneo ya JOTO usitafute pure breed..chotara inakufaa... hii itaadopt visuri..hapa inachukuliwa local cows kama borana na wengine wanapandikizwa mbegu pure cows

ukiweza pata fleckvieh cows hawa ni mazingira yote wanaishi ila upatiikanaji wake ni garama kidogo Kwa Tanganyika tupo wafugaji wachache saana wenye hii mbegu na majority hatuuzi



UTAPATAWAPI MBEGU.......usinunue kwa mtu ambaye hana taarifa za ngombe wake....nenda kwa mashamba makubwa mfano ASAS, Tanga fresh.....kwa ukand wa pwani kama upo huku Nenda MRUAzI TANGA wana mimbegu mizuri saana ya ngombe tena yenye mimba,,,ukipata connection ya mstaafu Kikwete.....utanishukuru baadae......kama upo nyanda za JUU watafute ASAS, Shamba la Philips, Kibebe nk wanambegu poa...Ukiwa kaskazini NENDA chuo cha mifugo tengeru au kituo cha serekali cha uhimilishaji utapewa connection ya watu na mashamba bora ya kununua Mifugo

kikubwa unaweza nunua hata NGOMBE MOJA TU ukamhudumia vizuri akakupa tija kuliko mwenye ngombe 05

la mwisho kila la kheri,,, ukifanikiwa usisahau kurudi hapa na glass ya Maziwa

Kidumu Chama cha Mapinduzi (((((joke))))
Nilimnunua kwa mzee mmoja hv akiwa ndamView attachment 2522763
IMG_20230219_130012.jpg
 
Unafugia wapi
na unataka ngombe wangapi

je Unajua ABC ya kufuga

Nikiwa kama mfugaji mstaafu nakushauri hivi

1. Anza na malisho,,,,,,narudia tena malisho....weka range ya miezi mitatu sita na mwaka,,,,inakuwaje unaweza kulima mahindi mtama..nakutengeneza silage, high yielding cow mkadirie KG 40 kwa siku

2. chanzo cha maji safi ya kunjwa kiwe cha uhakika

3. Banda, likinge mifugo yako na upepo, mvua na jua kali

4. Vijana angalau wajue abc za kumtunza ngombe,,,kumbuka ngombe 70% ni managament and 30% ni feeding

5. mbegu za ngombe sasa.....Jitahidi saana hapa usichemke kama upo maeneo ya JOTO usitafute pure breed..chotara inakufaa... hii itaadopt visuri..hapa inachukuliwa local cows kama borana na wengine wanapandikizwa mbegu pure cows

ukiweza pata fleckvieh cows hawa ni mazingira yote wanaishi ila upatiikanaji wake ni garama kidogo Kwa Tanganyika tupo wafugaji wachache saana wenye hii mbegu na majority hatuuzi



UTAPATAWAPI MBEGU.......usinunue kwa mtu ambaye hana taarifa za ngombe wake....nenda kwa mashamba makubwa mfano ASAS, Tanga fresh.....kwa ukand wa pwani kama upo huku Nenda MRUAzI TANGA wana mimbegu mizuri saana ya ngombe tena yenye mimba,,,ukipata connection ya mstaafu Kikwete.....utanishukuru baadae......kama upo nyanda za JUU watafute ASAS, Shamba la Philips, Kibebe nk wanambegu poa...Ukiwa kaskazini NENDA chuo cha mifugo tengeru au kituo cha serekali cha uhimilishaji utapewa connection ya watu na mashamba bora ya kununua Mifugo

kikubwa unaweza nunua hata NGOMBE MOJA TU ukamhudumia vizuri akakupa tija kuliko mwenye ngombe 05

la mwisho kila la kheri,,, ukifanikiwa usisahau kurudi hapa na glass ya Maziwa

Kidumu Chama cha Mapinduzi (((((joke))))
Ushauri mzuri sana,
Hapo mwisho ndio umeharibu.
 
Habari zenu wadau

Katika kutafuta maisha nmeamua kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa lakini sasa kupata pure breed anayetoa angalau 25 litres per day imekuwa changamoto.

Nimeshapigwa mara 2.

Naombeni mwenye connection na hawa ngombe aniunganishe
ukitaka pure breed lazima uenda ukanda wa baridi kama nyanda za juu kusini magharibi...mbeya, njombe, iringa na rukwa.. possibly Arusha pia. Ukiwa dar lazima upigwe tu maana hawapo, pure breed hawezi kustahimili joto
 
Habari zenu wadau

Katika kutafuta maisha nmeamua kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa lakini sasa kupata pure breed anayetoa angalau 25 litres per day imekuwa changamoto.

Nimeshapigwa mara 2.

Naombeni mwenye connection na hawa ngombe aniunganishe
Nitafute kwa namba 0756416149
 
Mkuu kuna group moja la wafugaji wa ng'ombe wa maziwa Tanzania
Hiki unachoomba ni kidogo sana
Nakutumia namba ya Admin wa group hilo la whatsup
Ukifanikiwa kuungwa utakuja kunishukuru hutojuta
+255 629 613 326
 
Habari zenu wadau

Katika kutafuta maisha nmeamua kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa lakini sasa kupata pure breed anayetoa angalau 25 litres per day imekuwa changamoto.

Nimeshapigwa mara 2.

Naombeni mwenye connection na hawa ngombe aniunganishe
Inawezekana mkuu.
Nitafute nikuelekeze
 
Back
Top Bottom