Nashukur mkuuAisee yuko vizuri sana
Hapo kuna bonde linapitisha maji mengi sana ndio huwa nawaleta sio mbali na nyumbanMzee unachunga au unafanya zero grazing
Nashukur mkuuDaaah safi sana yuko vzr
Bonde ninapowaleta sio mbaliView attachment 2525102Mzee unachunga au unafanya zero grazing
LinkMkuu kuna group moja la wafugaji wa ng'ombe wa maziwa Tanzania
Hiki unachoomba ni kidogo sana
Nakutumia namba ya Admin wa group hilo la whatsup
Ukifanikiwa kuungwa utakuja kunishukuru hutojuta
+255 629 613 326
Mkuu kuna group moja la wafugaji wa ng'ombe wa maziwa Tanzania
Hiki unachoomba ni kidogo sana
Nakutumia namba ya Admin wa group hilo la whatsup
Ukifanikiwa kuungwa utakuja kunishukuru hutojuta
+255 629 613 326
Mkuu, Juncao na super napier ni jamii moja?Ninauza mbegu za nyasi za ng'ombe, mbuzi na kondoo.Mbegu za Juncao na Super napier.
Nyasi zake zina protini 18% na virutubisho vingine vingi.
Eka moja ya Juncao na Super napier ukiitunza vizuri unaweza kuvuna nyasi za kulisha ng'ombe 15 kwa mwaka.
0756625286.
Zote niMkuu, Juncao na super napier ni jamii moja?
Mcheki jamaa hapo ndio adminHabari mkuu?
Unaweza ukatuma tena hii link?
Ahsante
NashukuruMcheki jamaa hapo ndio admin View attachment 2873734
Mkuu salama, naomba utupe elimu kidogo ya silage ya Mihogo, nitashukuru saana kwani wengi tutafaidikaPia Mimi ni mtalamu wa kutengeneza silage Kwa mihogo unachoitaji ni mti wa mihogo tuh nadhani tunaweza kubadilishana elimu