Natafuta Nyumba Ndogo wa kusaidizana kimaisha na kimapenzi

Natafuta Nyumba Ndogo wa kusaidizana kimaisha na kimapenzi

Ha ha ha, mambo ya kuwa nyumba ndogo hausi gelo

Akchwale huyu anatafuta wa kumuajiri amfanyie kazi, ila akimfanya nyumba ndogo anaongeza security ya biashara yake.

Biashara za MPESA nazo atafute security?? Anyway, nimekusoma point yako Kongosho,una miakili sana. Na nyumba ndogo nae kujiona ana hadhi basi atakuwa mwaminifu asijue mke atabaki mke....lol
 
Nimejizititi kwa kila changamoto wapendwa, just send your applications Michelle upo?

Unauliza nipo El Toro, ina maana hunioni?? Au ndo tunakatishana tamaa nisilete application?? Nipo nimejaa tele nasubiri. Naona vigezo vimenishinda heshima kwa bi mkubwa kama hanitambui na kuniheshimu mi siiwezi.
 
Unauliza nipo El Toro, ina maana hunioni?? Au ndo tunakatishana tamaa nisilete application?? Nipo nimejaa tele nasubiri. Naona vigezo vimenishinda heshima kwa bi mkubwa kama hanitambui na kuniheshimu mi siiwezi.

Try your luck you never know
 
Call me El Torro please and not any other names, sijaomba ruhusu ila hii ni siri na lengo hasa natafuta mchakarikaji awe business partner tuongeze kipato pamoja na tufaida mafanikia kwa kushare mapenzi pia.

Kaka umejitoa mhanga hadi naogopa, naona dunia yangu imetetemeka.........kweli nimeamini great things are for great people!!!!
Kila la kheri kiongozi!!!!!
 
Am trying to figure out jinsi ambavyo angekuwa mwanamke ndo ametoa hili tangazo hizo abusive language ambazo angepata toka pande zote hasa ke.lakini huyu kwa xoz ni mwanaume eti ni hero eti "great things for....."iyaaa
 
Am trying to figure out jinsi ambavyo angekuwa mwanamke ndo ametoa hili tangazo hizo abusive language ambazo angepata toka pande zote hasa ke.lakini huyu kwa xoz ni mwanaume eti ni hero eti "great things for....."iyaaa

Hahahaa jeneneke punguza povu life is too short....
 
Last edited by a moderator:
Hamna cha povu wala nini yani Kaizer kuna vitu nikisomaga nashindwa kuelewa jamii inabidi nipite kimya ukiona naandika jua mtima umeshindwa kuvumilia.mzima lakini?heshima yako
 
Last edited by a moderator:
mi natafuta wa kunisaidia kimaishaa tu biashara nyingine sitaki
I am a married man 40years of age, looking for "nyumba ndogo" with the following qualities,

1. A graduate with at least 25 years, asiye na wivu wa mapenzi bali wa maendeleo
2. Awe mrembo wa kawaida na anayefanya kazi sitaki madenti
3. Mwenye idea za kibiashara maana lengo langu hasa ni kuongeza wigo wa kipato
4. Awe tayari kuwa nyumba ndogo na kuheshimu nyumba kubwa

Kama una sifa hizo niPM with your mobile number niko serious so serious applicants ONLY are encouraged to apply
NB: Lengo langu ni kutoa dhana ya kuwa nyumba ndogo are there to spend but for me nataka nyumba ndogo inisaidie kuongeza kipato hata kwa kufungua biashara za kama M-Pesa's na kutanua iwe sehemu ya kufurahia mafaniko tutakayopata.
 
michele umekosa nini ufanywe part time?
Biashara za MPESA nazo atafute security?? Anyway, nimekusoma point yako Kongosho,una miakili sana. Na nyumba ndogo nae kujiona ana hadhi basi atakuwa mwaminifu asijue mke atabaki mke....lol
 
Wewe ni jinsia KE au ME kama KE apply nikupunguzie hasira na povu[/QUOTE

Kwani kwenye tangazo lako umeanisha jinsia?We umesema unataka nyumba ndogo awe mrembo ,kwa misingi hiyo basi nakidhi vigezo kwani mimi ni me na ni mrembo haswa naatoka Mombasa naomba unifikirie na najua kutafua pesa
 
Nimependa maombi yako
yamefanana na rules za The Boss
 
Last edited by a moderator:
I am a married man 40years of age, looking for "nyumba ndogo" with the following qualities,

1. A graduate with at least 25 years, asiye na wivu wa mapenzi bali wa maendeleo
2. Awe mrembo wa kawaida na anayefanya kazi sitaki madenti
3. Mwenye idea za kibiashara maana lengo langu hasa ni kuongeza wigo wa kipato
4. Awe tayari kuwa nyumba ndogo na kuheshimu nyumba kubwa

Kama una sifa hizo niPM with your mobile number niko serious so serious applicants ONLY are encouraged to apply
NB: Lengo langu ni kutoa dhana ya kuwa nyumba ndogo are there to spend but for me nataka nyumba ndogo inisaidie kuongeza kipato hata kwa kufungua biashara za kama M-Pesa's na kutanua iwe sehemu ya kufurahia mafaniko tutakayopata.

A very good idea, hata mimi nina hilo wazo! Tena kwa sifa hizo hizo, nasisitiza tu, awe ni graduate miaka 27 hadi 40, mie nina 35yrs! Asimvuruge mke wangu pls!
 
Back
Top Bottom