Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
Ha ha ha, mambo ya kuwa nyumba ndogo hausi gelo
Akchwale huyu anatafuta wa kumuajiri amfanyie kazi, ila akimfanya nyumba ndogo anaongeza security ya biashara yake.
Biashara za MPESA nazo atafute security?? Anyway, nimekusoma point yako Kongosho,una miakili sana. Na nyumba ndogo nae kujiona ana hadhi basi atakuwa mwaminifu asijue mke atabaki mke....lol