Natafuta Nyumba Ndogo wa kusaidizana kimaisha na kimapenzi

Natafuta Nyumba Ndogo wa kusaidizana kimaisha na kimapenzi

Am trying to figure out jinsi ambavyo angekuwa mwanamke ndo ametoa hili tangazo hizo abusive language ambazo angepata toka pande zote hasa ke.lakini huyu kwa xoz ni mwanaume eti ni hero eti "great things for....."iyaaa

God created women for men!
 
Hamna cha povu wala nini yani Kaizer kuna vitu nikisomaga nashindwa kuelewa jamii inabidi nipite kimya ukiona naandika jua mtima umeshindwa kuvumilia.mzima lakini?heshima yako

Pole mkuu Jeneneke, ila kumbuka Eva alitoka kwenye ubavu wa Adam!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom