Kwa hii statement yako inadhihirisha ni utapeliKama hujui kitu unapiga kimya. Acha ujinga. Anyway, mimi napiga hela uchao. Nina majukumu mengine, mimi ni muajiriwa. Sipati muda wa kutosha. Na hiki ninachotaka kufanya si kuwa nabahatisha. Nahitaji mtu ambaye nitamfundisha pia lakini mwenyewe muda kuliko nilivyo mimi. Hapo hakuna utapeli wowote, so far nimesema nitakutana na mbia na nitamjuza namna navyofanya mathematical calculations zangu na yeye kuprove track ya matokeo ya nyuma na mapya.
He is either lying or dumbHahahaaaaaa! eti hana muda ni muajiriwa. Yaani mkeka Bet unaweza ukaweka mpaka mil 2 upige mil 20 hlf ww unasema huna muda?
Sasa huo muda wa kutengeneza tips utaupata wapi? Hiyo ajira wanakulipa sh ngapi kwa siku?
Maana mimi kwa kubahatisha tu kuna siku nimeweka laki tano nikala m2 kwa masaa kuna ajira zaidi ya hiyo kweli hasa kwa mtu kama ww unaamini ukibeti ni 100%
Kaka kwemamuone msomso
Miss ferrar hiyo avata yako inafanya hali yangu kuwa mbaya!100% are you god? Utajifunga vip au compensate vip pale wateja wako watakapopata hasara kwa hiyo assurance?
You got a point kaka. Ila kwa upande wa PREDICTION. Nadhani nimekosea kutum
JIPATIE DAU LA BURE KUTOKA WWW.BONGOTIPS.COM LA KUANZIA TSH 5,000/= HADI TSH 40,000/= KILA SIKU PALE UNAPO WEZA BASHIRI GAME ZAKO NA ZIKASHIDA.
MAELEZO ZAIDI PIGA 0673839983 , 0718445962, NA 0625655587
AU TEMBELEA WWW.BONGOTIPS.COM AU PAGE ZETU ZA FACEBOOK ZA BONGOTIPS PREDICTION
ia hilo neno. Badale yake ilitakiwa kuwa 100% sure soccer tips.