Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,771
Huyu jamaa Ana kamba tu Hana jipya yaani uwe na uwezo wa kubashiri 100% halafu ubaki unaajiriwa?? Sasa we si unahuakika wa kula mil2 kila siku au kazi hy ni kazi gani!!??
Ungeshakuwa milionea kama ungeweza kubeti 100% sure
Sheikh yahya mwenyewe na kamba zake za hesabu hakuwahi kubeti akala...alikuwa anasubirj mechi ishachezwa eti ndio ndio anapiga hesabu zake
Weka mechi 10 kujaribu uwezo wako tuone
Ungeshakuwa milionea kama ungeweza kubeti 100% sure
Sheikh yahya mwenyewe na kamba zake za hesabu hakuwahi kubeti akala...alikuwa anasubirj mechi ishachezwa eti ndio ndio anapiga hesabu zake
Weka mechi 10 kujaribu uwezo wako tuone