Natafuta Partner kwenye biashara ya marudio (Uchenjuaji wa marudio ya Dhahabu)

Natafuta Partner kwenye biashara ya marudio (Uchenjuaji wa marudio ya Dhahabu)

pappilon

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
3,192
Reaction score
3,559
Wakuu habari zenu.


Nitaenda moja kwa moja kwenye mada, natafuta mtu ambaye nitashirikiana naye katika biashara ya uchenjuaji wa marudio ya dhahabu.

Marudio yapo maeneo ya Morogoro, marudio yenyewe yanasoma kati ya 1.2ppm-3.2ppm kwa hiyo average nakisia inaweza kuwa 1.8ppm ila itabidi kuyapima kwa mara nyingine ili kujiridhisha zaidi kabla hatujafanya uwekezaji wowote. Marudio yapo zaidi ya tani 600 kwa kuanzia.

Mimi nitahusika kwenye madawa ya uchenjuaji na partner ninayemtafuta atahusika kwenye manunuzi ya marudio, kwa kawaida kwa maeneo hayo marudio yanauzwa kwa trip ya gari.

Kwa trip moja ya gari la tani kumi na tano tunaweza nunua kati ya 100k na 200k, ukiweka na gharaza ya gari na upakiaji gari moja inaweza cost 300k Tsh mpaka marudio yanafika kwenye plant (VAT leaching plant).

Kimsingi mimi sina plant kwa hiyo itabidi kukodisha, gharama ya kukodi plant huwa ni maelewano kati ya mkodishaji na mwenye plant (waliofanya haya mambo wanajua).

Wale wachenjuaji mnakaribishwa.


Nimeona kuna jamaa anakuja na hesabu zake za kufikirika hapa, naomba niweke mchakato mzima wa hii issue ili kila kitu kiwe sawa.


GHARAMA ZA MADAWA
400kg Activated carbon......................................................................................................6,000,000
Pipa 8 za Sodium Cyanide@1,000,000.......................................................................8,000,000
Lime 150 bags@10,000...........................................................................................................1,500,000
Hydogen Peroxide..................................................................................................................... 120,000
Lead Nitrate......................................................................................................................................320,000 (hii sio muhimu ingawa)
Lab Reagents..................................................................................................................................500,000

MANUNUZI NA USAFIRISHAJI WA UDONGO/MARUDIO
600tons/15tons.....40trucks@300,000.............................................................................12,000,000

GHARAMA NYINGINEZO
Kupakia na kuopoa matanki....20tanks@100,000...................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Maji..........................................................................................................................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Kukodi Plant.......................................................................................................................................5,000,000
Mkemia..................................................................................................................................................1,000,000
Meals and accomodation.......................................................................................................1,000,000 (kisio la juu sana)
Gharama za elusion.....................................................................................................................1,500,000

TOTAL........................................................................................................................................................40,940,000
Contigency 5%................................................................................................................................ 2,047,000

G TOTAL..............................................................................................................42,987,000

TUJE KWENE UHALISIA SASA

600Tons@1.8g/t tukirecover 80%..............................................................864grams of Gold.
Purity ya dhahabu ni 85% (864*85%)......................................................734grams of Gold

MAUZO
Kwa bei ya leo gram moja ya gold inanunuliwa kwa 132,000Tsh baada ya kutoa commision ya muhindi

734g*132,000...................................................................................................96,940,800Tsh

KODI YA SAMIA
Hapa nitachukua 7%

96,940,800*7%..............................................................................................6,785,856

CHA MKONONI
96,940,800-6,785,856=================================90,154,944

EXPECTED FAIDA

90,154,944-42,987,000==================================47,167,944TSH

HII SIO HABA KWA KAZI YA MIEZI MIWILI JAMANI


MKUU ZERO UPO HAPO


 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m

2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil

3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant

4. Kazi ya kuload& unload material

5.gharama za ellusion

6.logistics cost

7.muda

8.meals and accomodation

9.dayworkers



53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah
 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m

2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil

3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant

4. Kazi ya kuload& unload material

5.gharama za ellusion

6.logistics cost

7.muda

8.meals and accomodation

9.dayworkers



53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah
Huyo mkemia wako anayercover 60% kimsingi hajui anachofanya...mkemia makini anareccover 80%..gari nimesema ni 15ton na siyo 10ton, purity ni 85% na siyo 70% kama unavyosema. All in all asante kwa comment yako.
 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m

2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil

3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant

4. Kazi ya kuload& unload material

5.gharama za ellusion

6.logistics cost

7.muda

8.meals and accomodation

9.dayworkers



53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×80% vat leach recovery=864gram×132000×0.85purity=96..m
HAPA NAONGELEA BEI YADHAHABU YA LEO NA KIMSINGI DHAHABU ITAPANDA ZAIDI YA HAPO

2.Material cost 600ton÷15ton=40trucksx300k=12mil

3.madawa
Carbon 375000×16=6mil (I ONLY NEED 400KG OF ACTIVATED CARBON)
Cynide 450000×6=2.7mil (HAPA UKO SAHIHI)
Maji......IM
Lab reagent....500,000
Mkemia.............1M
Kukodi plant...5M

4. Kazi ya kuload& unload material.......50K PER TANK===50K*20TANKS*2====2M

5.gharama za ellusion........1.5M

6.logistics cost(NEGLIGIBLE)

7.muda

8.meals and accomodation..........500K

9.dayworkers (NOT NEEDED)



96...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA) (HAKUNA HASARA NI WIVU TU UNAKUSUMBUA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah


NOTE
HATA KAMA NITARECOVER HYO 648GRAMS KWA HYO PURITY YAKO NA KUUZA KWA HYO BEI YAKO BADO NITAKUWA NA FAIDA MAANA TOTAL OPERATION COST + 15% CONTIGENCY INAKUJA 37.33M

SO 53-37.33=====BADO KUNA 15M FAIDA (PAMOJA NA HESABU ZAKO ZA KISHAMBA ULIZOPIGA HAPA BADO SIONI BIG NAGATIVE (HASARA KUBWA) HAPA)

NIKICHUKUA FAIDA YANGU 96M-37.33M==============NITAPATA FAIDA YA 58.6M..


KOJOA ULALE MKUU
 
Huyo mkemia wako anayercover 60% kimsingi hajui anachofanya...mkemia makini anareccover 80%..gari nimesema ni 15ton na siyo 10ton, purity ni 85% na siyo 70% kama unavyosema. All in all asante kwa comment yako.
Hata hesabu za activated carbons zimenishtua sana 600 tons zenye ppm 1.8 (1.8g/t) utumie carbon nying hivo ili iweje...Issue ya ku recover 60% iko chini sana.
Mkuu huo udongo ppm za copper na sulphur zikoje?
 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m

2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil

3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant

4. Kazi ya kuload& unload material

5.gharama za ellusion

6.logistics cost

7.muda

8.meals and accomodation

9.dayworkers



53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah
@BRAVO 2 ZERO mbona cynide bei ipo chini?? Wakati ina kimbilia milion moja kwa pipa
 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m

2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil

3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant

4. Kazi ya kuload& unload material

5.gharama za ellusion

6.logistics cost

7.muda

8.meals and accomodation

9.dayworkers



53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah


Hesabu nzuri hii.
 
Hata hesabu za activated carbons zimenishtua sana 600 tons zenye ppm 1.8 (1.8g/t) utumie carbon nying hivo ili iweje...Issue ya ku recover 60% iko chini sana.
Mkuu huo udongo ppm za copper na sulphur zikoje?
Mkuu copper na Sulphur ziko chini sana...yaani wala huwa hata watu hawazifikirii mkuu....ngoja niweke mchakato wote hpo juu maana huyu zero anataka kupotosha kwa makusudi kabisa.
 
Tuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini

1.mapato

1.8g/ton×600ton=1080gram×80% vat leach recovery=864gram×132000×0.85purity=96..m
HAPA NAONGELEA BEI YADHAHABU YA LEO NA KIMSINGI DHAHABU ITAPANDA ZAIDI YA HAPO

2.Material cost 600ton÷15ton=40trucksx300k=12mil

3.madawa
Carbon 375000×16=6mil (I ONLY NEED 400KG OF ACTIVATED CARBON)
Cynide 450000×6=2.7mil (HAPA UKO SAHIHI)
Maji......IM
Lab reagent....500,000
Mkemia.............1M
Kukodi plant...5M

4. Kazi ya kuload& unload material.......50K PER TANK===50K*20TANKS*2====2M

5.gharama za ellusion........1.5M

6.logistics cost(NEGLIGIBLE)

7.muda

8.meals and accomodation..........500K

9.dayworkers (NOT NEEDED)



96...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA) (HAKUNA HASARA NI WIVU TU UNAKUSUMBUA)


NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah


NOTE
HATA KAMA NITARECOVER HYO 648GRAMS KWA HYO PURITY YAKO NA KUUZA KWA HYO BEI YAKO BADO NITAKUWA NA FAIDA MAANA TOTAL OPERATION COST + 15% CONTIGENCY INAKUJA 37.33M

SO 53-37.33=====BADO KUNA 15M FAIDA (PAMOJA NA HESABU ZAKO ZA KISHAMBA ULIZOPIGA HAPA BADO SIONI BIG NAGATIVE (HASARA KUBWA) HAPA)

NIKICHUKUA FAIDA YANGU 96M-37.33M==============NITAPATA FAIDA YA 58.6M..


KOJOA ULALE MKUU
Kakope bank ufanye hiyo kitu utuletee mrejesho.. vitu haviko linea kama unavyodhani....
 
% purity ya dhahabu huwezi ijua mpaka uwe na dhahabu mkononi kwa hiyo kwenye calculation tunatumia % ndogo( makadirio ya chini) ili kuwa safe kwenye uwekezaji na mtaji
ENDELEA KUKAA KIMYA MKUU....NINAPOSEMA PURITY NI 85% NINA UHAKIKA 100%...(KWA NINI NISINGESEMA NI 95% BASI KAMA NIA NI KUPOTOSHA???)....MKUU HV VITU VINAKUZIDI UMRI....KOJOA ULALE
 
ENDELEA KUKAA KIMYA MKUU....NINAPOSEMA PURITY NI 85% NINA UHAKIKA 100%...(KWA NINI NISINGESEMA NI 95% BASI KAMA NIA NI KUPOTOSHA???)....MKUU HV VITU VINAKUZIDI UMRI....KOJOA ULALE
1.Logistics(negligible)

hizo lime, chemicals site hapo zinajileta zenyewe[emoji16]

Ellusion carbon zitajipeleka zenyewe?
 
Mchawi wako hapo hujamjua bado material zako hizo zina grade ndogo utapata hasara, huwezi kuwa na uhakika wa %purity ya dhahabu mpaka uwe nayo mkononi hizo ishu za nina uhakika nina uhakika kwenye biashara sio mahali pake. We una uhakika na 85% ikitokea 70% mwekezaji utamwambia nini?
 
Back
Top Bottom