pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,559
Wakuu habari zenu.
Nitaenda moja kwa moja kwenye mada, natafuta mtu ambaye nitashirikiana naye katika biashara ya uchenjuaji wa marudio ya dhahabu.
Marudio yapo maeneo ya Morogoro, marudio yenyewe yanasoma kati ya 1.2ppm-3.2ppm kwa hiyo average nakisia inaweza kuwa 1.8ppm ila itabidi kuyapima kwa mara nyingine ili kujiridhisha zaidi kabla hatujafanya uwekezaji wowote. Marudio yapo zaidi ya tani 600 kwa kuanzia.
Mimi nitahusika kwenye madawa ya uchenjuaji na partner ninayemtafuta atahusika kwenye manunuzi ya marudio, kwa kawaida kwa maeneo hayo marudio yanauzwa kwa trip ya gari.
Kwa trip moja ya gari la tani kumi na tano tunaweza nunua kati ya 100k na 200k, ukiweka na gharaza ya gari na upakiaji gari moja inaweza cost 300k Tsh mpaka marudio yanafika kwenye plant (VAT leaching plant).
Kimsingi mimi sina plant kwa hiyo itabidi kukodisha, gharama ya kukodi plant huwa ni maelewano kati ya mkodishaji na mwenye plant (waliofanya haya mambo wanajua).
Wale wachenjuaji mnakaribishwa.
Nimeona kuna jamaa anakuja na hesabu zake za kufikirika hapa, naomba niweke mchakato mzima wa hii issue ili kila kitu kiwe sawa.
GHARAMA ZA MADAWA
400kg Activated carbon......................................................................................................6,000,000
Pipa 8 za Sodium Cyanide@1,000,000.......................................................................8,000,000
Lime 150 bags@10,000...........................................................................................................1,500,000
Hydogen Peroxide..................................................................................................................... 120,000
Lead Nitrate......................................................................................................................................320,000 (hii sio muhimu ingawa)
Lab Reagents..................................................................................................................................500,000
MANUNUZI NA USAFIRISHAJI WA UDONGO/MARUDIO
600tons/15tons.....40trucks@300,000.............................................................................12,000,000
GHARAMA NYINGINEZO
Kupakia na kuopoa matanki....20tanks@100,000...................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Maji..........................................................................................................................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Kukodi Plant.......................................................................................................................................5,000,000
Mkemia..................................................................................................................................................1,000,000
Meals and accomodation.......................................................................................................1,000,000 (kisio la juu sana)
Gharama za elusion.....................................................................................................................1,500,000
TOTAL........................................................................................................................................................40,940,000
Contigency 5%................................................................................................................................ 2,047,000
G TOTAL..............................................................................................................42,987,000
TUJE KWENE UHALISIA SASA
600Tons@1.8g/t tukirecover 80%..............................................................864grams of Gold.
Purity ya dhahabu ni 85% (864*85%)......................................................734grams of Gold
MAUZO
Kwa bei ya leo gram moja ya gold inanunuliwa kwa 132,000Tsh baada ya kutoa commision ya muhindi
734g*132,000...................................................................................................96,940,800Tsh
KODI YA SAMIA
Hapa nitachukua 7%
96,940,800*7%..............................................................................................6,785,856
CHA MKONONI
96,940,800-6,785,856=================================90,154,944
EXPECTED FAIDA
90,154,944-42,987,000==================================47,167,944TSH
HII SIO HABA KWA KAZI YA MIEZI MIWILI JAMANI
MKUU ZERO UPO HAPO
Nitaenda moja kwa moja kwenye mada, natafuta mtu ambaye nitashirikiana naye katika biashara ya uchenjuaji wa marudio ya dhahabu.
Marudio yapo maeneo ya Morogoro, marudio yenyewe yanasoma kati ya 1.2ppm-3.2ppm kwa hiyo average nakisia inaweza kuwa 1.8ppm ila itabidi kuyapima kwa mara nyingine ili kujiridhisha zaidi kabla hatujafanya uwekezaji wowote. Marudio yapo zaidi ya tani 600 kwa kuanzia.
Mimi nitahusika kwenye madawa ya uchenjuaji na partner ninayemtafuta atahusika kwenye manunuzi ya marudio, kwa kawaida kwa maeneo hayo marudio yanauzwa kwa trip ya gari.
Kwa trip moja ya gari la tani kumi na tano tunaweza nunua kati ya 100k na 200k, ukiweka na gharaza ya gari na upakiaji gari moja inaweza cost 300k Tsh mpaka marudio yanafika kwenye plant (VAT leaching plant).
Kimsingi mimi sina plant kwa hiyo itabidi kukodisha, gharama ya kukodi plant huwa ni maelewano kati ya mkodishaji na mwenye plant (waliofanya haya mambo wanajua).
Wale wachenjuaji mnakaribishwa.
Nimeona kuna jamaa anakuja na hesabu zake za kufikirika hapa, naomba niweke mchakato mzima wa hii issue ili kila kitu kiwe sawa.
GHARAMA ZA MADAWA
400kg Activated carbon......................................................................................................6,000,000
Pipa 8 za Sodium Cyanide@1,000,000.......................................................................8,000,000
Lime 150 bags@10,000...........................................................................................................1,500,000
Hydogen Peroxide..................................................................................................................... 120,000
Lead Nitrate......................................................................................................................................320,000 (hii sio muhimu ingawa)
Lab Reagents..................................................................................................................................500,000
MANUNUZI NA USAFIRISHAJI WA UDONGO/MARUDIO
600tons/15tons.....40trucks@300,000.............................................................................12,000,000
GHARAMA NYINGINEZO
Kupakia na kuopoa matanki....20tanks@100,000...................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Maji..........................................................................................................................................................2,000,000 (kisio la juu sana)
Kukodi Plant.......................................................................................................................................5,000,000
Mkemia..................................................................................................................................................1,000,000
Meals and accomodation.......................................................................................................1,000,000 (kisio la juu sana)
Gharama za elusion.....................................................................................................................1,500,000
TOTAL........................................................................................................................................................40,940,000
Contigency 5%................................................................................................................................ 2,047,000
G TOTAL..............................................................................................................42,987,000
TUJE KWENE UHALISIA SASA
600Tons@1.8g/t tukirecover 80%..............................................................864grams of Gold.
Purity ya dhahabu ni 85% (864*85%)......................................................734grams of Gold
MAUZO
Kwa bei ya leo gram moja ya gold inanunuliwa kwa 132,000Tsh baada ya kutoa commision ya muhindi
734g*132,000...................................................................................................96,940,800Tsh
KODI YA SAMIA
Hapa nitachukua 7%
96,940,800*7%..............................................................................................6,785,856
CHA MKONONI
96,940,800-6,785,856=================================90,154,944
EXPECTED FAIDA
90,154,944-42,987,000==================================47,167,944TSH
HII SIO HABA KWA KAZI YA MIEZI MIWILI JAMANI
MKUU ZERO UPO HAPO
|