Natafuta Partner kwenye biashara ya marudio (Uchenjuaji wa marudio ya Dhahabu)

Natafuta Partner kwenye biashara ya marudio (Uchenjuaji wa marudio ya Dhahabu)

hapo umekwama kaka bajet yako ipo juu sana na haina uhalisia wa kile kilichomo kwenye udongokaa na mkemia wako vizuri na hii biashara ni hatar usipo kuwa makini unaumia pia bajet ya cynide ipo juu compared na ww ulivoweka pia lab reagents hata ukinunua dukan haifik hio bei mkuu tumia akili nyingi kweny hizi project ukikaa vbaya faid huon na unabaki na madeni
 
Back
Top Bottom