Leseni ya nini mkuu wangu...Plant ni ya kukodi...ambaye anatakiwa kuwa na Leseni na kuilipia ni mwenye plant mkuu sio mimi. Mkuu kuhusu biashara wala usinieleze mkuu....najua machungu yake na matamu yake....naomba niishie hapoUsiseme hivyo, ni kwamba hatujuani, mimi nimefanya biashara na zero capital kuanzia, na kuna wakati sales zangu kwa mwaka zilifika 1bn.
Nataka nikueleze, biashara sio hesabu hizo hapo za karatasi, kabisa, kwenye hizo hesabu umeongelea leseni? Na gharama nyingine achana na VAT.
Biashara sio profil and loss account, haya mambo magumu sana, ukifanya masihara inaweza kukugeuka mpaka ukasahau flies ipo wapi wakati wa haja ndogo
Kwa tusio wazoefu inabid tuongie uko mguu ndani, mguu njeShida ni gharama za uendeshaji ni kubwa mnoo kwa hiyo ukiikamia halafu ukatamanishwa mbele sijui utapata kilo 3 sijui 4 hapo utafilisika ni kuifanya mdogo mdogo
Sawa mkuu....nimekusoma....na ndo maana sijasema marudio yana 6ppm wakati kiuhalisia yana 1.2-3.2ppm....ningekuwa nataka kupotosha ningesema yana 8ppm ili watu waingie mazima...na zaidi ya yote nimesema pia atakayekuwa interested atachukua samples za marudio na kuyapima kabla ya kuweka hela yake mkuuNikusahihishe,
Mimi Ni mfanyabiashara wa vitu today kabisa
Ila kiukweli kwny madini Sina uzoefu wowote ule.
Ni biashara nnayoitamani,
Ndo maana nategemea rating na comments za wadau wataalam Kama nyie kuweza kuchanganua hayo mambo
Siwez kuingia uko kichwa kichwa mkuu
Mkuu kwenye biashara ya marudio ukisikia mtu anakuambia sijui 10+ppm...kimbia mpaka mguu uvunjikeShida ni gharama za uendeshaji ni kubwa mnoo kwa hiyo ukiikamia halafu ukatamanishwa mbele sijui utapata kilo 3 sijui 4 hapo utafilisika ni kuifanya mdogo mdogo
Sawa chief...ila ungejua na mm kuwa ni mtu genuine sana wala usingesema napotosha. Mtu nitayempata kila kitu kitawekwa wazi kabisa....wala hakutakuwa na janja janja. Asante boss na samahani kwa kukuita wa KIKE....nisamehe bureKamwe siwezi nunua marudio,marudio yana mambo mengi sana ntachimba mwenyewe ila nakushauri hizo hesabu zako hapo juu ziangalie kwa jicho la tatu mi ni mzoefu tu japo umeniita wa kike uthibitisho huo hapo.View attachment 2435452
Kila la kheri kwenye uwekezaji nunua machache anza nayo. Mtaji ukikua unanunua mengine hivyo hivyo.... wewe unaweza kuwa na kifua cha kupambana na lolote litakalotokea tofauti na huyo mwekezaji unaemtafuta.Sawa chief...ila ungejua na mm kuwa ni mtu genuine sana wala usingesema napotosha. Mtu nitayempata kila kitu kitawekwa wazi kabisa....wala hakutakuwa na janja janja. Asante boss na samahani kwa kukuita wa KIKE....nisamehe bure
Leseni ya nini mkuu wangu...Plant ni ya kukodi...ambaye anatakiwa kuwa na Leseni na kuilipia ni mwenye plant mkuu sio mimi. Mkuu kuhusu biashara wala usinieleze mkuu....najua machungu yake na matamu yake....naomba niishie hapo
Sawa chief....Asante sana kwa ushauriKila la kheri kwenye uwekezaji nunua machache anza nayo. Mtaji ukikua unanunua mengine hivyo hivyo.... wewe unaweza kuwa na kifua cha kupambana na lolote litakalotokea tofauti na huyo mwekezaji unaemtafuta.
Or
Yachukue hayo marudio kwa mali kauli japo ni ngumu ila penye nia pana njia.
Haya boss asante....je kama connection zangu zote zimekwama...nifanyeje sasa??hujawai sikia kuna tajiri mmoja mkubwa hapa tanzania ilifika wakati hata hela ya kuendesha maisha alikosa....kwani hakuwa na connection...mkuu we kama ni mfanyakazi kamatia vizuri hicho kibarua chako na jipendekeze kwa boss kweli kweli....huku duniani kugumu sana mkuu asikuambie mtu...ukiterereka kidogo kwenye biashara hata hao wenzako hutawaona.Usingekuwa unakuja kuomba mtaji kwa usiowajua, kama una net work nzuri na biashara umefanya, huwezi kosa wawekezaji, mpaka uje kwa watu usiowajua, ni uhuni huo.
Haya boss asante....je kama connection zangu zote zimekwama...nifanyeje sasa??hujawai sikia kuna tajiri mmoja mkubwa hapa tanzania ilifika wakati hata hela ya kuendesha maisha alikosa....kwani hakuwa na connection...mkuu we kama ni mfanyakazi kamatia vizuri hicho kibarua chako na jipendekeze kwa boss kweli kweli....huku duniani kugumu sana mkuu asikuambie mtu...ukiterereka kidogo kwenye biashara hata hao wenzako hutawaona.
Sawa mkuu....ambao walishafanya hii kitu watanielewa na ndio nimewalenga....sio wafanya biashara za Icecream mkuu wangu....na sio lazima uccoment kwenye kila uzi mkuuIt is a moral thing, investment ni issue kubwa na ngumu, ngumu sana kuipata hapa.
Mfano, wakati nafanya biashara kipindi kigumu kikaja, walio rescue mtaji wangu ni wale niliokuwa nafanya nao.
Unapiga simu, unamwambia bro, nimekwamba hapa 10m, unamueleza anaelewa, anasema pitia J3 ila ni ya kazi, naitaka tarehe fulani.
Sasa hapa wewe unaandika tu hesabu, is that a bankable business plan? Hakuna kinachishawishi hapo hata kimoja.
Wekeni data fresh ,watu tuna falanga bank.MAMBO GANI TENA MKUU
Kuna thread nilisoma inasema Hakuna biashara inafilisi Kama ya madiniTuliza kichwa kwanza, maelezo rahisi hayo hapo chini
1.mapato
1.8g/ton×600ton=1080gram×60% vat leach recovery=648gram×117000×0.70purity=53..m
2.Material cost 600ton÷10ton=60trucksx300k=18mil
3.madawa
Carbon 375000×24=9mil
Cynide 450000×6=2.7mil
Maji......
Lab reagent....
Mkemia
Kukodi plant
4. Kazi ya kuload& unload material
5.gharama za ellusion
6.logistics cost
7.muda
8.meals and accomodation
9.dayworkers
53...m - (2+3+4+5+6+7+8+9 above)= big negative(HASARA KUBWA)
NB kila mtu anabahati yake usisubiri kusimuliwa jaribu inaweza ikawa ndo gia ya kutokea.inshallah