Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Nunua piano zinakaa 10 kwenye kikaton chake elfu 13 maduka ya jumla pharmacy utauziwa elfu 20Ndio shida ipo mtoto ni mlemavu
Pole sana kwa mtihani mzito huoNdio shida ipo mtoto ni mlemavu
Asante ndo tulioumbiwa binadamPole sana kwa mtihani mzito huo
Ok pole sana mkuu nadhani utafute Pampers za adults itaweza kumtoshaMtoto makubwa sema ni mlemavu
Naomba namba tuNunua piano zinakaa 10 kwenye kikaton chake elfu 13 maduka ya jumla pharmacy utauziwa elfu 20
Ila jumla pc 90 kwenye caton elfu 85.
Uko wapi mkuu nikupe namba kama Una uwezo jumla anakuletea Hadi nyumbani
Ni kweli mkuu japo kuvaa Pampers kwa umri huo ndiyo concern yanguKilo 28 ni mtoto wa miaka 8 - 12.
Farberk au Faru zipo Manzese hakosi hizo Kwa Bei nafuuSijui uko wapi.
Ila kama uko Dar. Nemba pale Muhimbili, Kariakoo na Nakiete.
Na famasi kubwa.
Kwani wewe unafikiri chagamoto za mwili na akili ni wazee tu, Watoto hazi wahusu. Ukiona familia yako haina chagamoto mshukuru Mungu na uendelee kuwa mpole.Ni kweli mkuu japo kuvaa Pampers kwa umri huo ndiyo concern yangu
Pole sana mkuuNdio shida ipo mtoto ni mlemavu
Mungu akufanyie wepesiMtoto makubwa sema ni mlemavu
Sikuwa na maana hiyo unayoifikiria mkuuKwani wewe unafikiri chagamoto za mwili na akili ni wazee tu, Watoto hazi wahusu. Ukiona familia yako haina chagamoto mshukuru Mungu na uendelee kuwa mpole.
Ndo mini hzo?Farberk au Faru zipo Manzese hakosi hizo Kwa Bei nafuu
Visepe ndo nn?Tafuta adult
Ukikosa tafuta visepe
Ndo nini hzo?
Ndo mini hzo?
Asante nshazoea hii haliJamani sjajua kwa nini ila nmesikitika tu, pole mkuu
Pole sana mpendwa, Mungu akupe Moyo wa subira.Asante nshazoea hii hali
N vile kuna pempers alikua anatumia za 25kg hzo hazAsante nshazoea hii hali
Asante sana mkuuPole sana mpendwa, Mungu akupe Moyo wa subira.