Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mie nimesema dini sio imani [emoji13]dini ni imani. na kila mtu anashida. na ndoa. ndo maana nilimpa tahadhari mapemaaaa. watu kama nyie hamkosekani
Na hapo ndio tatizo linapoanzia, wewe unazani mtaan kwao hamna wanaume? Kwann kaja huku?Mbn kitu cha kawaida,skuizi mtoto miaka 16anajua A mpk Z
Huwez jua,pengine kakosa uyo mwanaume,alaf si unajua kupata mwanaume wa pekeo dunia ya leo majaaliwa,kila mtu anabahati yakeNa hapo ndio tatizo linapoanzia, wewe unazani mtaan kwao hamna wanaume? Kwann kaja huku?
Acha maswali mengi naweUlipata mtoto ukiwa na miaka 18 hivyo mimba ulipata ukiwa na miaka 17 ..samahan bikra ilitoka ukiwa na miaka mingap
poanatafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Pole sana. Hebu simulia hapa ulijisikiaje unaposhindwa kuingia jukwaani?nilipigwa ban bila kosa lolote yaani