Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahitaji tuwasiliane (0787321476)natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
vipi ulifnikiwa?kila la kheri
na uwe mvumilivu na maneno ya waja.
maana wengi watakuja kukuumiza na comment zao.
Nakubaliana na wewe mkuu manake baba wa mtoto lazima aje nyumbani kwako mara kwa mara kumtembelea mtoto wake na hapo huyo baba hataogopa kuja hata ukiwa umesafiri manake anajustification tayari ya kuja kwako na historia inaonyesha lazima wakumbushane na x wake wa zamaniUngekuwa hauna Mtoto ingekuwa poa
mimi tena?? nilifanikiwa nini??vipi ulifnikiwa?
Kupata, nilikuwa katika pita pita zanu nikakutana na tangazo lako la kitambomimi tena?? nilifanikiwa nini??
Ntakuja kutaka mke na [HASHTAG]#super[/HASHTAG] womankila la kheri
na uwe mvumilivu na maneno ya waja.
maana wengi watakuja kukuumiza na comment zao.
tangazo la nini?Kupata, nilikuwa katika pita pita zanu nikakutana na tangazo lako la kitambo
sijakuelewaNtakuja kutaka mke na [HASHTAG]#super[/HASHTAG] woman
Mapenzi ni demokrasia mbona wakristo hubadili dini kuwafuata waume wa kiislamu kwa hiyo upande A ni haramu ila upande B siyo haramu.Acheni kumpangia yuko huru na akili yake.Inaonanyesha ww muislam jina tu usituzinguwe, muumin wa kiislam habadili dini kwa kutaka mume.
Mungu hana diniKwakweli..............
Umesema una hofu ya mungu????!!!!
Alaf upo tayal kubadili dini???
Kweli una shida ya ndoa...
Kila la kheri
huo ni mtazamo wako siwezi kukuzuia ila at least nimekuwa wazihii imani yako sio sahihi jambo la kubadili dini sio mchezo kama si hili kesho ungekuwa wangu. Ukifikiria kubadili dini kwanini usifikirie kubadili mume baadae
ulitaka nidanganye mkuu siku ukimuona mwanangu ulalamike,hapana mie siko hivyo huwa napenda kusema ukweli kwenye masuala ya msingi mtoto wang ni baraka na simjutii na ndo maana sioni aibu kusema umri wake na umri nilionaoUlipata mtoto ukiwa na miaka 18 now una 30 mtoto anamiaka 12 yuko form one kwa umri huu tuanzie hapo