he!Naitwa Lucas naishi dar natafuta msichana ambaye atakuwa mchumba wangu, mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui dini wala kabila namba yangu 0713998604.Naomba awe tayari kupima HIV.Tafadhal naomba usibeep kama unaweza nipigie. Lucas
bangi zingine bana, zinabana akiliNaitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy
he!
bangi zingine bana, zinabana akili
Naitwa Lucas naishi dar natafuta msichana ambaye atakuwa mchumba wangu, mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui dini wala kabila namba yangu 0713998604.Naomba awe tayari kupima HIV.Tafadhal naomba usibeep kama unaweza nipigie. Lucas
Ah ni kweli mkuu kwani humu sakatrik kesi kibao tu siku hiziBora na weye umestukia.......!
he!
bangi zingine bana, zinabana akili
heheheheheMsilipuke wazee..dogo anafanya mazoezi ya typing..anashangaa wadau mnakuja na lundo la uncertified ushauri ..lol
hehehehehe
ila mkuu unajua madhara ya mtoto kuchezea silaha iliyojaa risasi mbele ya kadamnasi?? kuriakti haraka ndo jibu sahihi
kweli niko sirias kabisaa. wadau hii imekaaje? natafuta binti awe anaanzia miaka 23 hadi 26 hivi, mkristu (akiwa Roman itakuwa bomba zaidi) elimu kidato cha nne na kuendelea. Labda wadau mnawafahamu mabinti waliotulia mnipe michongo walipo. Nawasikilizia.
nipo tayari rangi je au unene au unataka tulioslim kama Kelly01?mi mnene kidogo ila siyo mfupi
nipo tayari rangi je au unene au unataka tulioslim kama Kelly01?mi mnene kidogo ila siyo mfupi
Kwani wewe una urefu gani?
Mkuu wapiga debe tupo hapa umeshindwa kutushilikisha hapo hupati mwali ng'o.
Mh mie hapa si bahati yangu maana anataka slim fit mie tipwa (ingawa spring chicken- just turned to 23 jana lol)ataniangalia kweli! Kila la kheri mziwanda wangoje kina naniliu wanakuja sasa hivi!