Mkuu Idimi
Natafuta mchumba wa kike awe naelimu sio chini ya kidato cha sita,
Awe mrefu na mwembamba wa wastani as well as umbo na sura ya kulidhisha.
Asiwe mweusi wala mweupe sana(asiwe wa kutumia mkorogo,pombe)
Dini yoyote ila asiwe mlokole.
Asiwe mhaya au mchaga
Umri:18-24
Wasifu wangu!
Umri:28
Elimu: Degree
Mrefu kiasi
Rangi:Maji ya kunde
Napenda sana kufanya kazi mda mwingi!
Nitawataarifuni hapa hapa katika jukwaa hili, naomba mvute subira nikamilishe "Memorandum of Understanding" pamoja na "Terms of Reference".
Pasi na shaka mtavuta subira.
ngoja ngoja wajua huumiza matumbo eh!!! kama umekisa njoo mie sina cha MOU sijui TORs, bora tupendane tu, maisha mafupi! halafu hizo MOUs zitafanyiwa review kila mwaka ama????
Mwenzio kasema yupo DSM, na mi kwa uelewa wangu upo Nairobi unakula bata.....eeh? how com?🙄
we nawe unatakakulisha majirani wanao walale njaa,charity start at home!!!Nilisahau swali la msingi IDIMI, hivi kuna wale ambao tunawajua wapo nje ya hiki kiwanja ila TBS safi kabisa kila kigezo wametimiza na some wamezidi kidogo kwa ubora. Je tunaweza kuwabonyeza wajaribu hiyo bahati yao? watumie mawasiliano gani mzee kukupata? au hii offer ni kwa ajili ya members wa JF tu? Samahazi wazee sio kama nafanya ukuwadi ni maoni tu!!!!
sasa kwani DSM na Nbi ni mbali??? kwa wapendanao its a stone throw away... we nawe prophet of doom!
mwanakwetu njoo huku mi sina masharti yoyote..Idimi,
kwa mfano mimi nina sifa zote hzo ulizozitaja,
Na kizuri zaidi nilikuwa natafuta rafiki wa kiume kwa muda mrefu tu,lakini kwa ajili ya uafrika asilia naona aibu kumuanza mwanaume kumuomba urafiki thanks umeanza.
Pungufu langu ni moja tu umri wangu mie ni miaka 30 na miezi sita.
kabla sijaandika PM sijui unaliona je hilo
teh teh kiongozi kila la kheri..nimependa mambo ya Term of ReferenceNitawataarifuni hapa hapa katika jukwaa hili, naomba mvute subira nikamilishe "Memorandum of Understanding" pamoja na "Terms of Reference".
Pasi na shaka mtavuta subira.
Tangazo/ombi la huyu mkuu linatisha.Hakuna mtu atajibu maana haijulikani anamtaka kwa ajili gani.Isije ikawa anatafuta kwa ajili ya ritual sacrifices! Si mnajua uchaguzi unakaribia na watz kama kawaida wanapenda kuiga? Nigeria ndo zao hizi.
Be specific/more elaborate Sam!
hello! why not go to www.mchumbatodate.com, it is free dating site for african
Mbona sijapata mbongo? Wewe vp unamchumba tayari? Kama vp tunaweza kuongea nyuma ya pazia.
Mbona sijapata mbongo? Wewe vp unamchumba tayari? Kama vp tunaweza kuongea nyuma ya pazia.
Kulingana na majibu yako kwa maswali ya Nasolwa nadhani utampata umtafutae kirahisi. Kama ni house girl agiza kijijini kwenu, kama mlinzi cheki na wamasai, kama mke pepesa macho kanisani, kazini kwako, classmates, sister zako au ndugu wanaweza kukuunganisha. Jiandae na wewe kumweleza binti what you will be bringing to the table.
Komredi unafuata nyayo za yo yo? hana gemu huyo
Well kwa jina naitwa sam -- ni kijana mwenye umri wa miaka kati ya 25 na 30 mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa , mwili wangu ni wastani na rangi ya ngozi yangu ni kahawia - sijawahi kuowa wala kuolewa ( siku hizi wanaume wanaolewa ) - nimeajiriwa katika sekta binafsi mjini dar es salaam
napenda kujitokeza katika jukwaa hili kutafuta mwanamke ambaye hapo baadaye tunaweza kufanga nae pingu za maisha , awe mstaarabu , mwenye kuvutia , umri wake kuanzia miaka 23 mpaka 30 awe anafanya kazi au kajiajiri mwenyewe
mwisho napenda awe hajawahi kuwa katika ndoa yoyote ile -- mimi ndio niwe wakwanza nae