Natafuta Rafiki, Mchumba

Natafuta Rafiki, Mchumba

sidhani kweli kama hii ni njia nzuri ya kutatua shida yako,Do you believe in God? kweli unahisi unaweza kumpata yule Mungu aliyekupangia through this way, i think you should try to use a little bit of ''polymorphism'' knowledge you obtained in software coding.
 
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa
 
nabadilisha goal ya 2010 kama una vigezo.......please pokea my PM
 
Masanilo na Yo Yo mje tender hiyoooooooooooo...najua mtakuwa na vigezo.
Mi nimeshindwa kigezo kimoja...
 
I am out ....demu anaye kimbilia kuolewa badala ya kujivinjali na kujuana idara zote hafai pia ana shida ya udini huyu....
 
Duu sasa wewe tu ndio umetoa kigezo...Mbona hujatoa chance kwa mwanaume na yeye atoe kigezo chake???mimi kigezo kimoja ndio nimechemka..Hawa ndio wale wale wa bado nipo nipo mpaka age hiyo ulikuwa wapi??
 
I am out ....demu anaye kimbilia kuolewa badala ya kujivinjali na kujuana idara zote hafai pia ana shida ya udini huyu....


Hahaha mkuu umejuaje??Kabisa yaani naona kashaanza kutoa vigezo vya DINI tayari sasa wapi na wapi??Hata kujuana bado alikuwa wapi??
 
Masanilo na Yo Yo mje tender hiyoooooooooooo...najua mtakuwa na vigezo.
Mi nimeshindwa kigezo kimoja...

Kwani ametaja jinsia yake? Msije mkachangamkia tender kumbe wote mna jinsia moja kama ya huyo kaka/dada.
 
I am out ....demu anaye kimbilia kuolewa badala ya kujivinjali na kujuana idara zote hafai pia ana shida ya udini huyu....

Kaka mbona humtendei haki Ms Chite? Harafu hii post yake ya kwanza ati? Kwa hiyo dada yuko serious ;-)

Yeye ndo anajua anachotaka..sasa kwa nini uanze kumuita mdini? Its her choice..hata angesema anataka ..mchumba awe baharia..ungemuita mbaguzi kwa sababu hakutaka mwalimu? au angesema anataka msukuma ungesema ni mkabila? kwa sababu hakutaka Mngoreme? angesema anataka mzungu..angeambiwa ni mbaguzi? si ndio? Yet wote humu tuna vigezo vyetu....unaweza kutaka mkulima, mfanyakazi, muuza kimpumu, muuza chai....anayejua kupika chapati...ilmradi tuu..Hapana mkuu..yeye katoa vigezo..if you fit the bill..mtumie ujumbe...kama wewe ni SABATO MASALIA..Basi tuma ujumbe...ataamua akufikirie au akumwage.....Upo?

In all, uhusiano..ni wewe mwenyewe kujua kitu gani roho inapenda.. So Ms. Chite...2waislamu wajimwage..it seems they stand a better chance. Sadly mimi ni bachelor ila ni dini yangu ni ATR!
 
I am out ....demu anaye kimbilia kuolewa badala ya kujivinjali na kujuana idara zote hafai pia ana shida ya udini huyu....

KAMANDA unaniangusha banaaa!!! Mi nilishapiga mahesabu kwamba utatuma application hapo??? Unajuaje mambo kidogokidogo anaweza kukubali "MKAJUANA" B4 as usual (jokes)

Mkuu YO YO we vp bahati ndio hiyo; ninavyoipenda JF jamani....😕

Tatizo lenu nyinyi pia ni "MAFISADI" wa relationship, mtake msitake...
 

Yepi tena?

Biashara matangazo ati!

Subiri watu wataanza kuja na hadithi hapa...eti mume/mke mwema hutoka kwa Mungu..watu bana.....Sasa sijui huyo mke mwema Mungu atakushushia home au itabidi umtafute..awe mwema ukishakuwa naye...
 
KAMANDA unaniangusha banaaa!!!

Wakubwa zangu Aljuniortz na wakukaya Masanja

Dada amesema wazi angependelea Muislam, sasa mimi Msabato wa Masalia kutuma application ni kujichosha...Ms Chite ingependeza kama angesema anatafuta mume age 30-37, awe tayari kupima HIV ingependeza, hapo hata sisi wachoma mkaa tusio na dini tungejimwaga...wigo wake unabana sana ...ngoja niwaachie wengine
 
Yepi tena?

Biashara matangazo ati!

Subiri watu wataanza kuja na hadithi hapa...eti mume/mke mwema hutoka kwa Mungu..watu bana.....Sasa sijui huyo mke mwema Mungu atakushushia home au itabidi umtafute..awe mwema ukishakuwa naye...

Ndiyo hapo sasa.Tusubiri tutasikia tu.
 
Salaams!
Wapendwa mie natokea hapa kwa mara ya kwanza kabisa, shida yangu kubwa natafuta mchumba mwema anaemaanisha na ambae tayari alitendwa na hayupo tayari tena kutendwa! I am ready for long relationship! Umri ni kuanzia 30 mpaka 37, awe muislam itakuwa vema zaidi, kwa aliye tayari asisite kuwasiliana na mimi!
I mean it wapendwa

Mi napenda sana tiGo kujiexpress vp hii huduma nayo nitaweza kupata nimefikiria kigezo kilicho kuwa kikinikabili tayari kinawezekana kukitengua.
Mi ugonjwa wangu ni tiGo tu sasa sijui utakuwa unanipa tuwekane wazi.
 
Mimi ni msilamu,,,sawa! Ms Chite aona bado hujakamilisha, malizia idara zote! Umeanza vizuri,,,, mtu ambaye aliwahi kutendwa ambaye hayuko tayari kutendwa! Ww uliwahi kutendwa mwana?
Mimi pamoja na yote pia nataka umbo namba nane! Uwe tayari kulea wanangu 4! Hapo ni kwa kuanzia tu,,,, mengi ukitaka nitaku-PM
 
Mchumba bora anapatika JF the home of great thinkers upo Ms Chite, umemsoma Fidel80 na Eeka Mangi, usidanganywe mume bora atoka kwa Mungu ni hapa hapa JF
 
Wakubwa zangu Aljuniortz na wakukaya Masanja

Dada amesema wazi angependelea Muislam, sasa mimi Msabato wa Masalia kutuma application ni kujichosha...Ms Chite ingependeza kama angesema anatafuta mume age 30-37, awe tayari kupima HIV ingependeza, hapo hata sisi wachoma mkaa tusio na dini tungejimwaga...wigo wake unabana sana ...ngoja niwaachie wengine

Poa kamanda; lakini kwa ninvyokujua mkuu hapo kwenye kupima HIV pia ungetoka mbio kama hiyo choice ya kuwa muislamu.

Ila kwa maarifa niliyonayo ukiwa selective saaana ili kupata mke/mume unakuja kukuta age imekwenda unaemtaka hajatokea. Kasumba hizi tulikuwa nazo enzi zileee tunasoma. But tulipoingia mtaani haya yoote tukayaacha nyuma.

Tukaja kuoa watu tusiowatarajia maana wengine tulikuwa just like bro n sis then mwisho wa siku tukafanya surprize ya nguvu!!!

BTW; all the best Dada yangu.
 
Ms chite ingekuwa vizuri ungeweka picha yako, ila nina kaka yangu anatafuta mchumba pia. Dini mkristo, kama upo tayari kubadili dini itakuwa poa.
 
Back
Top Bottom