Natafuta rafiki mwanaume

beathahenry

Member
Joined
Dec 18, 2013
Posts
47
Reaction score
60
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.

Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.

Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.

Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.

Asanteni.
 
Njoo kwangu ila hio miaka sina wala sijaoa kama ni campan tu usiogope ila kwa mambo mengine Mungu hapendi.
 

Kwa kweli wewe ni chuma cha reli!![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…