chuma cha reli huh[emoji2] [emoji3]Kwa kweli wewe ni chuma cha reli!![emoji53][emoji53][emoji53]
Mi nina miaka 26 natafuta mke, nina degree ya sheria na advanced diploma ya legal practice ila sina kazi.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Bado unanipenda?uyo wa miaka 40 atakudanganya tu kama hana mke
unaongea na mm Rich Pol au mleta mada anayetafuta mwanaume wa miaka 40Bado unanipenda?
Habari!.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Mi nina miaka 26 natafuta mke, nina degree ya sheria na advanced diploma ya legal practice ila sina kazi.
Umesikia anakwambia hana kazi then unadai huna kazi kwa hiyo unataka kazi.Mi nina miaka 26 natafuta mke, nina degree ya sheria na advanced diploma ya legal practice ila sina kazi.
Jina unalotumia haliendani na kauki zako, badilika.Mimi ni Dogo Janja tu Nina miaka 11...sasa wew una miaka 40
[emoji22] huyu anatutania banaAsante sana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Na sio hivo tu, hata ambao bado hawajaoa kama mimi pia wapo!Wapo waliofiwa au walioachana au hawapo wa status hizo?
Dodo hili.