Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashindwa kukucheki pmNjoo pm
Mganeuyo wa miaka 40 atakudanganya tu kama hana mke
Watu mnapenda miteremko, yaani unaweka na namba kabisa?!ohh niko hapa kwaajili yako nina 40 na watoto 2 pls nitumie msg hapa tuongee 0654991515
Hizi ni fani za watu sio lazima uchangie, kuna majukwaa mengi kama chit chat!!!Kama una 40 years utakuwa kwenye menopause stage
Nafasi ipo tuangalie bahati zetu??Mgane
Una matatizo yoyote ya kiafya au uzazi? Usinielewe vibaya, nimeuliza kiudadisi.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
MganeNimwanaume yupi miaka 40 ambaye bado hana mke
Nafasi ipo tuangalie bahati zetu??
Last seen yake 2yrs agooMcheki huyo kama bado hajajaza nafasi ...
Ooohh!Last seen yake 2yrs agoo
Basi hamna shida kama ashapata.. Tuangalie yetu mie nawe...Ooohh!
Labda ashapata amerudi kwenye I'd yake ya zamani kabla ya hii.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Tuwasiliane kwa pmMimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
k.Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.