Natafuta rafiki mwanaume

Natafuta rafiki mwanaume

ohh niko hapa kwaajili yako nina 40 na watoto 2 pls nitumie msg hapa tuongee 0654991515
Watu mnapenda miteremko, yaani unaweka na namba kabisa?!

Subiri utekwe ndio akili zikae sawa!.
 
Nina 25 ila naona nimechelewa pata mtoto nyie yanawakuta nn hadi mnafika 40 bila mtoto? Mungu aniongoze
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.

Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.

Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.

Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.

Asanteni.
Una matatizo yoyote ya kiafya au uzazi? Usinielewe vibaya, nimeuliza kiudadisi.
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.

Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.

Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.

Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.

Asanteni.

Imekuaje mpaka ufikie umri wa miaka 40 ukose mtoto? Kuhusu mume, hilo sishangai. Au una changamoto za uzazi? Kama ni hivyo, pole sana! na ujipe moyo ya kwamba ipo siku Mungu atakujalia.
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.

Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.

Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.

Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.

Asanteni.
Tuwasiliane kwa pm
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.

Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.

Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.

Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.

Asanteni.
k.

Tuwasiliane namba 0654 317 732
Nipo Kilimanjaro.o
 
Back
Top Bottom