100% kweliHAKUNA URAFIKI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% kweliHAKUNA URAFIKI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME!!
Uzuri ananijua. Mimi si mgeni kwakeNarudia tena sumbai akienda pm kudangwa Lima kibutii.
Nipo fresh kabaiyser
Hahah!! Sawa bhnWe nijibu tuu babe ake shunie!!
Naachaje kumjua mtu anemkula mdogo wangu?!
Do you know you are a Really Cool ,Funny and Sweet Person?Siyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?
miaka 28 vipi kama ni urafiki tu, madarasa ninayo pia ya kutosha. ila nataka rafiki wa kike aliyenizid umri kama wew, ili anishauri mambo ya ya kiuchumi, kimahusiano na kitaaluma pia, na maisha yajayo(future life). Na urafiki wetu uwe wa kufa na kuponaMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Hhaahhhaah,..tukose tuu babuu[emoji23][emoji23]Jina la mleta mada umelisoma? Babu yako naweza kuambulia ukuu wa mkoa, afu na wewe nikakupigia chapuo ukamate ka ubalozi ka hapo Dubai....
[emoji29] [emoji29] hivi kwa nn nilikimbia umande. Sijaambulia neno hata moja.Do you know you are a Really Cool ,Funny and Sweet Person?
Daahhhh upo direct nausopepesa macho , Don't be Hasty ,thinking I'm mad. But I have just realized that 'True Friends' don't grow on trees.
Rafiki kama wewe huwezi kuacha rafikio apotee , rafiki kama wewe uonapo mwenzako anatope usoni nilazima umwambie , rafiki kama wewe uonapo mwenzako anauchafu mgongoni nilazima umfute.
Much to say......ila ........... niseme you deserve to be somebody's friend![emoji38]
Hamna u rafiki kati ya mwanaume na mwanamke usinitafute ubaya.
Mtoa mada Mimi ni mke wa huyu na Nina wivu na siyo mwelewa pia
Dada shemeji......yani mnatuita sisi '
Mimi mzima dear. Upo powa?
Hahahahha hahahah nani anataka Mume wake akadangwe.
Umejua kunichekesha.
Hahahahha hahahah.
Siku hizi tunadanga na kudangwa kisomi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kibuti??? Thubutuuuuu.Narudia tena sumbai akienda pm kudangwa Lima kibutii.
Nipo fresh kabaiyser
Si urafiki wa kawaida. Mama pUzuri ananijua. Mimi si mgeni kwake
Unakazia nini? Si urafiki wa kawaida tunabadilishana mastress...Nakazia hapooo
Baba P wangu nakupenda sana.Dada shemeji......yani mnatuita sisi '
danga'
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kibuti??? Thubutuuuuu. Si urafiki wa kawaida. Mama p
Wee usibishane na my Dada anaona mbali. Halafu wewe Baba P tarehe za mwisho wa mwezi huwa ni msumbufu sanaUnakazia nini? Si urafiki wa kawaida tunabadilishana mastress...
Acha hizo bhana... mbona wewe ni rafiki yangu?100% kweli