Wewe ni rafiki yangu sana tuu!! Sasa sijui kwa nini mleta mada anawaita pmMie huwa naendana na mazingira yalivyo, nna marafiki wa rika tofauti tofauti na kaliba mbali mbali kutokana na mazingira. Kwani wewe sio rafiki yangu?
Ewaaaaa...
Ishia hapo hapo!! Huo urafiki fanya na mimi, sawa eeeh!!
HahahaDah! wewe sikuwezi
Rafiki aliekomaa kila upande?.. duuh!!
HahahaHahahahaaha LoL
View attachment 726844
HahahaRafiki aliekomaa kila upande?.. duuh!!
Urafiki wa kawaida tu. wa kushauriana mambo mbalimbali ya duniani na vitongoji vyakeYupo
Asijentia aibu mie kwa wajukuu zetu!! Huo urafiki wa saizi anautaka wa nini?!
ndohotabu doho nikukumbushe tu, hapo kwenye kusema urafiki si kwa lengo la mapenzi unafikiri utakua na mkakati gani wa kuhakikisha hamuangukii au kutumbukia huko? Nnaelewa hauna lengo la kutafuta mpenzi, lakini haya mambo huwezijua...rafi anakua rafiki kweli sasa baadae mnajikuta mnamalizia tu mambo mengine japo mara nyingi itaathiri urafiki wenu kwa namna moja ama nyingine.
Hiyo inaitwa rafiki mpenzindohotabu doho nikukumbushe tu, hapo kwenye kusema urafiki si kwa lengo la mapenzi unafikiri utakua na mkakati gani wa kuhakikisha hamuangukii au kutumbukia huko? Nnaelewa hauna lengo la kutafuta mpenzi, lakini haya mambo huwezijua...rafi anakua rafiki kweli sasa baadae mnajikuta mnamalizia tu mambo mengine japo mara nyingi itaathiri urafiki wenu kwa namna moja ama nyingine.
Enheeee.... haya twende sawa sasa
HahahaIvi giLESI naye si anaqualify hili tangazo!!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ooh!! Sawa mkuu nilikua sijaelewa kidogoYaani hata kama ikitokea mambo yakabadilika, awe anaweza kumudu nafasi zote.
Rafiki wa babu ni mimi tuuuUrafiki hauna umri. Babu pia ana haki ya kufurahi na marafiki as far as nitakuwa rafiki mwema